NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Wapi umewaona hao mashabiki wakimtukuza huyo Adebayo? Umelala na njaa umeota ndoto hiyo ndiyo unatuwekea hapa
Nimeshangazwa sana na mashabiki wa Simba SC walivyokua wanamtukuza Adebayor baada ya gemu ya Taifa stars kuisha.
Mashabiki wa Simba ni fuata upepo kama bendera, wamesahau kuimba nyimbo za Moses Phiri na Jean baleke saivi Adebayor.
Kweli Rage ajengewe sanamu pale msimbazi.
Na nyie ndiyo mlioitwa mbwa,nyani na uneducated na yule anayewadai mamilioni kwa kuwaambia ukweli.Hao ndiyo wale mashabiki walioitwa mbumbumbu na mwenyekiti wao mstaafu. Yaani wao ni kama bendera fuata upepo.
kwanza ni ujinga tu kumwonyesha kuwa wanamuabudu sana. Waliniudhi sana
Nimeshangazwa sana na mashabiki wa Simba SC walivyokua wanamtukuza Adebayor baada ya gemu ya Taifa stars kuisha.
Mashabiki wa Simba ni fuata upepo kama bendera, wamesahau kuimba nyimbo za Moses Phiri na Jean baleke saivi Adebayor.
Kweli Rage ajengewe sanamu pale msimbazi.