Mashabiki wa Simba SC wanaongoza kwa kujitoa ufahamu na hawajitambui

Ifike hatua yanga muachane na simba komaeni na wakina al hilal ndio level zenu si ndio?
Mkuu hizo akili wanazo sasa? Wao kwa mechi ya jana tayari wanaona wameingia makundi,

Hawa hamnazo fc wanatabu sana, yaani ngoja tuenxelee kuwabeba na kuwafundisha mpira wa kuvuka mipaka sio u-bahasha fc in National League
 
Mkuu hizo akili wanazo sasa? Wao kwa mechi ya jana tayari wanaona wameingia makundi,

Hawa hamnazo fc wanatabu sana, yaani ngoja tuenxelee kuwabeba na kuwafundisha mpira wa kuvuka mipaka sio u-bahasha fc in National League
Izo bahasha wanapewa kuanzia viongozi wenu mpaka wachezaji kila mechi ndo maana mmekuwa si lolote si chochote mnapokutana na wanaume
 
Wanayanga hawajawahi kumiliki akili,tunawapuuza tu.
 
Kusema kweli umeandika pumba sana. Futa tu
 
Hata baba ako ni lunyasi,unataka kusemaje???
 
Na yamekuwa kweli, mtanga msaidizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…