Blueprint 9
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 798
- 1,381
Hiyo ni Homa ya goli 5Nimepoteza interest kabisa na hii timu..hovyo sana🚮🚮
Asec wanaongoza league ya kwao,pili ni moja ya timu iliyojaa vijana wadogo. Sasa ule ugoigoi wenu mkipoteza mpira hamuwahi recover mpira mnatembea,mtapigwa nyingi. Msimu huu kwenye mechi zote ulizocheza cleansheet hazidi tatu,kila mechi unamuhusu magoli.Hawa Asec wa sasa hawana mpira wowote Simba akifungwa na hawa utakua ni uzembe mkubwa sana. Wanafungwa fungwa tu huko ligi ya kwao. Kwakifupi kwenye kundi la Simba akikaza anaongoza hilo kundi kuelekea robo fainali. Pamoja na ubovu wa Simba kwa sasa na kukosa kocha lakini sioni timu ya kuisumbua Simba kwenye kundi lao. Simba atakwenda robo fainali tena kwa kishindo kikuu
Aminaaaa....Hawa Asec wa sasa hawana mpira wowote Simba akifungwa na hawa utakua ni uzembe mkubwa sana. Wanafungwa fungwa tu huko ligi ya kwao. Kwakifupi kwenye kundi la Simba akikaza anaongoza hilo kundi kuelekea robo fainali. Pamoja na ubovu wa sasa na kukosa kocha lakini sioni timu ya kuisumbua Simba kwenye kundi lao. Simba atakwenda robo fainali tena kwa kishindo kikuu
Kitu nakukubali huwa hujikatii tamaa. Mungu awasaidie msiaibike sana.Hatuwezi kupoteza hiyo mechi b... Huwa tuko tofauti sana kwenye mechi za CAF. Hii ni kawaida yetu kwa miaka yote. Ndiyo mechi yetu ya kurejesha kujiamini kwetu.
Oba
Ilikuwa kosa kubwa kumfukuza kocha na kutuhumu wachezaji bila ushahidi kwa kusikiliza kelele za washabiki oya oya. Nilionya kuwa japokuwa iliuma kufugwa goli tano lakini tukumbuke tuko kwenye ligi, tuangalia yajayo matokeo yake ndiyo haya. Nina uhakia asingefukuzwa kocha mchezo na Namungo tusingedondosha poin mbili ambazo ndiyo zimempa ubingwa utopolo.Wanalunyasi,
Ni vizuri kuambiana ukweli wengine msije kufa kwa pressure game na Asec. Timu yetu mpaka sasa haina kocha mkuu wala kocha wa fitness.
Timu inafanya mazoezi na waalimu ambao kwa muda huu mfupi huku wakiwa wanajua wanashikilia bomba kwa muda mfupi ni ngumu kuwa motivated!
Tunahamasishwa kwenda uwanjani bila viongozi kuonesha nia na commitment mpya baada ya kipigo cha aibu dhidi ya watani. Kwenye press zao wanajitetea tu bila kukubali kuwajibika pia.
Matatizo ya Simba kiufundi msitegemee mabadiliko makubwa sana kwa muda huu mfupi. Juma Mgunda angeweza kutusaidia kwa program fupi lakini hawa waliopewa timu tujiandae.
Swala la kocha mkuu ni dharura, linapaswa lifanyiwe kazi kidharura. Kama funds zipo kupata kocha bora sio tatizo ila kama budget ni kikwazo lazima itatuchukua muda mrefu na kutugharimu.
Game na Asec haina dalili nzuri mpaka sasa. Viongozi wetu wachangamke na pia wawe na data base ya makocha wakubwa wenye vigezo ili kutafuta kocha isiwe kama anatokea sayari nyingine.
Hata ASEC Memosas ikifika CAF hua hawana mzahaHatuwezi kupoteza hiyo mechi b... Huwa tuko tofauti sana kwenye mechi za CAF. Hii ni kawaida yetu kwa miaka yote. Ndiyo mechi yetu ya kurejesha kujiamini kwetu.
Ova
Mangungu ana kosa gani?Nawalaumu saaaaana wanachama wenzetu waliomchagua Mangungo kuwa mwenyekiti kwani huyu yupo hapo kuitumia Simba kama ngazi ya kupandia kupata ubunge. Kila mwanachama wa Simba ambaye alimpa kura Mangungo ajue anahusika na anguko la Simba.
Sisi wenye nchi tunajua kosa lake.Mangungu ana kosa gani?
Ooooooooooh. 😂Wanathiiiiiiiimba [emoji16]
Heri umekuwa mkweliWanalunyasi,
Ni vizuri kuambiana ukweli wengine msije kufa kwa pressure game na Asec. Timu yetu mpaka sasa haina kocha mkuu wala kocha wa fitness.
Timu inafanya mazoezi na waalimu ambao kwa muda huu mfupi huku wakiwa wanajua wanashikilia bomba kwa muda mfupi ni ngumu kuwa motivated!
Tunahamasishwa kwenda uwanjani bila viongozi kuonesha nia na commitment mpya baada ya kipigo cha aibu dhidi ya watani. Kwenye press zao wanajitetea tu bila kukubali kuwajibika pia.
Matatizo ya Simba kiufundi msitegemee mabadiliko makubwa sana kwa muda huu mfupi. Juma Mgunda angeweza kutusaidia kwa program fupi lakini hawa waliopewa timu tujiandae.
Swala la kocha mkuu ni dharura, linapaswa lifanyiwe kazi kidharura. Kama funds zipo kupata kocha bora sio tatizo ila kama budget ni kikwazo lazima itatuchukua muda mrefu na kutugharimu.
Game na Asec haina dalili nzuri mpaka sasa. Viongozi wetu wachangamke na pia wawe na data base ya makocha wakubwa wenye vigezo ili kutafuta kocha isiwe kama anatokea sayari nyingine.
Na anafukuzwa wakati hawana mbadala wake[emoji1787]Lilikuwa kosa la kiufundi kumfukuza Robartinho! Kocha anayeweza kutoa sare na Al Ahly na Wydad hakuwa mtu wa kubeza.
Kosa kubwa mno walifanya Sasa wataleta masikitiko makubwa msikbazi kwa vichapo. MfululizoLilikuwa kosa la kiufundi kumfukuza Robartinho! Kocha anayeweza kutoa sare na Al Ahly na Wydad hakuwa mtu wa kubeza.
Tupo hapasisi Asec mimosa tujuane mapema
Goli tano nyingi sana mkuu..🤣Hiyo ni Homa ya goli 5