Mashabiki wa Simba tunapitia kipindi kigumu haijawahi tokea

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Kwa matokeo wanayozidi kuyapata wananchi huku kwetu Wana lunyasi tunapitia kipindi kigumu sana haijawahi kutokea

Mfano kile kipindi Cha economic hardship (great economic depression).... nadhani mliokuwepo mlishuhudia what happened during that time

Jana tukiwa kibanda umiza tunacheki mechi ya Yanga Kuna shabiki mwenzangu kavaa jezi ya Simba Baada ya lile goli la kwanza ... kapanic.[emoji3063][emoji3063]..kabeba Kiti na kurushia Tv ya watu....... mwingine kaenda kuing'oa kabisa....nilichoshangaa ni hiki ...anafungwa kmc ...tunaumia sisi wanasimba
Mpaka Sasa naambiwa ndugu zangu kina Kalpana ... Scars naskia hawajaamka Hadi saizi...kisa matokeo ya Yanga

Ombi langu
Simba msimu ujao tufanye usajili heavyweight Ili kuondokana na hizi stress

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Daah umeongea kweli mtani.

Mimi ni Simba damdam simba lialia roho inaniuma sana mkishinda.

Yanga mnapocheza huwa nateseka sana kwani naminya makende mwanzo mwisho ili msishinde.

Daah jana nimejua kuumia kama tumefungwa sisi simba kumbe ni KMC.

Yani yale maumivu ya jana hata siku ile mlipotupiga kono la nyani sikuumia vile.
 
Hatari sana mkuu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ww utopolo...yani matokeo ya Yanga ndo tusiamke kweli??
Ile simu ya Mudaziri ileee 😂 😂 😂 😂 🐸 🐸
 
Hapo dawa ni kumsajili tu Manzoki msimu ujao ili aje aiokoe timu yetu. Yaani aje acheze, na siyo kutusalimia tu wanachama.
 
Wewe ni utopolo,mashabiki wa Simba ni mashabiki wa mpira.

Hatutishwi na nguvu ya majini,kwani siku mkichoka kutolewa kafara,mtafungwa hadi mshuke daraja.

Nasikia majini yenu yanakula damu zenu za hedhi
 
Wewe ni utopolo,mashabiki wa Simba ni mashabiki wa mpira.

Hatutishwi na nguvu ya majini,kwani siku mkichoka kutolewa kafara,mtafungwa hadi mshuke daraja.

Nasikia majini yenu yanakula damu zenu za hedhi
Mimi...ni mnyama damu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Na wote walishakula tano tano.
 
Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…