bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Hakika miaka inaenda mbio sana hawa mashabiki wa Simba wao wanataka kufa tai Shingoni hawataki kukubali timu yao inahitaji mabadiliko wamebaki kukalia ishu za Yanga na wachambuzi wao wa kimchongo.
Walianza kumlaghai Feisal kuihujumu Yanga wakidhani kuondoka kwa feisal yanga itayumba Yanga ndio ikazidi kusimama imara chini ya Mwamba Eng Hersi na Kocha wa Viwango Nabi Nyuma ya Feisal kuna mambo mengi sana na pia kuna watu wengi mnoo achana na ishu ya mkataba hiyo cha mtoto tu.
Simba baada ya kuona Yanga wameshindikana uwanjani wakaja na gia hafifu ya kumlaghai Feisal aliyekua kati ya wachezaji tegemeo wa Yanga how comes mchezaji imara unasusa huku timu yako ikiwa na mchezo mgumu mbeleni kuna mikono ya watu.
Yanga ishukuru sana ilisinya wachezaji wengi wa nje wanaolewa maana ya kazi yao na wenye kufocus mbele take it from me Yanga ingekua na wachezaji wengi wa ndani ingekua inafungwa magoli ya ajabu ajabu sana wangepitishiwa bahasha za khaki na kuuza gemu, kuna kipa mmoja kipindi cha nyuma kuna shuti alidaka huku kakunja mikono.
Simba achaneni na historia mpira unabadilika wacheni janja janja mkiendelea na janja janja zenu hizo wapinzani wakubwa wa yanga watakuja kuwa Azam.
Shukuruni kundi lenu mmepangwa na timu nyepesi mnoo mngekua kundi la Mamelodi, Al hilal, Al ahly na coton sport mngeshakataana mapema sana, wakushukuriwa zaidi ni Vipers kwa kuwa mgawa pointi.
Wekezeni kwenye Mpira kwa manufaa ya soka la nchi yetu
Walianza kumlaghai Feisal kuihujumu Yanga wakidhani kuondoka kwa feisal yanga itayumba Yanga ndio ikazidi kusimama imara chini ya Mwamba Eng Hersi na Kocha wa Viwango Nabi Nyuma ya Feisal kuna mambo mengi sana na pia kuna watu wengi mnoo achana na ishu ya mkataba hiyo cha mtoto tu.
Simba baada ya kuona Yanga wameshindikana uwanjani wakaja na gia hafifu ya kumlaghai Feisal aliyekua kati ya wachezaji tegemeo wa Yanga how comes mchezaji imara unasusa huku timu yako ikiwa na mchezo mgumu mbeleni kuna mikono ya watu.
Yanga ishukuru sana ilisinya wachezaji wengi wa nje wanaolewa maana ya kazi yao na wenye kufocus mbele take it from me Yanga ingekua na wachezaji wengi wa ndani ingekua inafungwa magoli ya ajabu ajabu sana wangepitishiwa bahasha za khaki na kuuza gemu, kuna kipa mmoja kipindi cha nyuma kuna shuti alidaka huku kakunja mikono.
Simba achaneni na historia mpira unabadilika wacheni janja janja mkiendelea na janja janja zenu hizo wapinzani wakubwa wa yanga watakuja kuwa Azam.
Shukuruni kundi lenu mmepangwa na timu nyepesi mnoo mngekua kundi la Mamelodi, Al hilal, Al ahly na coton sport mngeshakataana mapema sana, wakushukuriwa zaidi ni Vipers kwa kuwa mgawa pointi.
Wekezeni kwenye Mpira kwa manufaa ya soka la nchi yetu