Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6

Mashabiki wa Simba wamehamia kwenye kumshutumu GSM kudhamini timu zaidi ya 6

Ukiwa shabiki wa Simba ni lazima uwe hauna akili [emoji706]

Kwanza Hair sio mali ya GSM kama wanavodai wao

Azam tv anadhamini ligi yote na ana timu inaitwa Azam fc lakini halina shida Hilo

Sportpesa alidhamini Simba, Yanga, Singida na Namungo lakini hakukua na shida

Juzi wanalalamika Jwaneng wamefikia Avic town je Avic ni mali ya Yanga ?

Wanalalamika Mwigulu kuwa mlezi wa Ihefu je Rage si mlezi wa Tabora united mbona hamlalamiki?
Facts Facts mkuu, kuna muda mashabiki wa simba wanatafutaka ahueni ya nitoke vipi ili wapate releaf na timu yao wanatafuta namna Ila ukweli timu yao mbovu sanaaa
 
Wale wakina kisugu ni machawa wa viongozi nasikia wanapata mgawo na kupewa jezi za kuuzia viongozi ndio maana wako pale kutoa mapovu kutetea ata ujinga ujinga uliopo
Ooooh kumbe yawezekana ni mkakati wao huoo
 
simba anayefungwa goli 5 na yanga, na yeye anapanga matokeo ?
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Mi ndio nimeiona kwako
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Hatuamini hilo,,
Kuwa namba 1 haishindikani ila kuwa namba 1 milele haiwezekani,,
 
Azam anadhamini timu 16 kwenye ligi kuu Tanzania bara

Mbona mpo kimya??

Ukiwa na timu mbovu unatafuta kila aina ya sababu!!!
Azam wanadhamini ligi ficha ujinga mkuu,azam wanaingia mkataba na bodi ya ligi sio timu,azam wanadhamini azam fc tu na ndo mana bidhaa za azam zinatangazwa na azam fc tu.
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Azam wanadhamini timu zote zinazoshiriki ligi kuu wakati wenyewe pia wana timu inayoshiriki ligi hiyohiyo wanayoidhamini.
Azam wanadhamini Azam confederation waksti wama timu insshiriki mashindano hayo.
Wanataka hizo timu zisipate wadhammini?
Wakawatadutie wadhamini wengine badala ya kulalama.
 
Kwani GSM ndo Yanga
GSM yuko Yanga atangaze biashara zake
Anaenda team zingine kutangaza biashara zake
Simba wamegeuka lia lia tu. Wanataka kusema kuwa hata wao walipobandikwa 5G nao pia walikuwa wameliowa? Belouizdad alipoweka chuma nne na kutolewa kwenye mashindano nao walikuwa wamelipwa. Sima iliingia kwenye makunadi bila kufunga hata bao moja.
 
Nilimsikia Legend George Masatu akilalamikia udhamini wa GSM kwa timu nyingi nikamdsharau sana ingawa alipokuwa bado akipiga mpira nilikuwa namkubali sana. Azam TV bado inadhidhamini timu zote japoikuwa kamuni ya Azam inamiliki Azam FC. Miaka ya Nyuma kidogo SportPesa ilikuwa inadhamini timu zote hadi miaka mitatu tu iliyopita ndipo Simba wakaingina mktaba na M-bet hawakulalamika.

Kwa mantiki yao ni kwamba hata wao walipbondwa 5G nao walikuwa wamelipwa na GSM. Upuuzi kabisa. Kwa Lugha nyingine, kile kipigo cha Prisons kilitokana na Simba kununliwa na GSM
Hao wachezaji wa zamani tatizo ni ukosefu wa elimu na mawazo ya kizamani.
 
Tatizo huyo anaelalamika hata uelewa wa uwekezaji hata genge la nyanya hana. Ni ujingaujinga tu.
 
Kuna upepo hivi sasaa unasambaa kama moto wa petrol kuwa inakuwaje kwenye ligi moja mdhamini aweze kudhamini timu 6 kwenye ligi moja? Kwa maana hiyo hizi timu ndogo zinazodhaminiwa na GSM zinaipa yanga matokeo ya bure kwa sababu tu zinatokana na mdhamini kuwa mmoja. Swali la kujiuliza je SIMBA na AZAM nazenyewe zimedhaminiwa na GSM? mbona wanakula kichapo kama kawaida.

Hata ukiangalia kwenye mashindano makubwa ya CAF champions league nakwenyewe YANGA inahonga? Yani mashabiki wa simba ifikie wakati watumie akili basi hata yakuvukia barabara na walivyo wapumbau wa akili kuna mtu mmoja kaeneza huu uvumi basi wooote wamehamia kwenye hii hoja, na wameishikia bango kweli kweli baada yakuona matokeo yao na timu yao kwa sasa uwezo ni mdogo sana wa kuchukua ubingwa. Ni lazima ifikie wakati WATANZANIA tubadirike tuache upumbavu. Walianza yanga wachawi, ikaenda yanga wanatembeza bahasha, sasa upepo upo kwa GSM kudhamini timu 6 hawataki na imekuwa topic kuu kwa sass, inaonesha ni jinsi gani kolo akili zao zinavyozungushwa nawatu wachache ndani ya club. Ni upuuzi unaoshangaza sn.
Kama vipi wamwambie tajiri yao na yeye adhamini hizo timu nyingine za ligi kuu kama ana hiyo jeuri.
 
Somaleni hapa chini udhamini unavyokuwa. Achani sababu za kuokoteza.👇
 

Attachments

  • Screenshot_2024-03-11-20-47-44-861_com.opera.app.news.jpg
    Screenshot_2024-03-11-20-47-44-861_com.opera.app.news.jpg
    678.9 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-03-11-20-46-24-836_com.opera.app.news.jpg
    Screenshot_2024-03-11-20-46-24-836_com.opera.app.news.jpg
    681.4 KB · Views: 4
  • Screenshot_2024-03-11-20-48-10-694_com.opera.app.news.jpg
    Screenshot_2024-03-11-20-48-10-694_com.opera.app.news.jpg
    909.8 KB · Views: 6
Makolo wanatafuta au kuokoteza furaha kokote wanakodhani kuna faraja...waacheni waendelee kuokoteza furaha
 
Back
Top Bottom