Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Jezi za Simba zilitangulia kutoka kabla ya jezi za yanga, mashabiki wa Simba walisifia ubunifu ila kasoro ikawa ni neno SANDA peke yake. Sijajua mbunifu wa jezi za Simba aliwaza nini kuweka 1 5 kwenye jezi za Simba lakini uzuri hakuna aliyechukulia hilo kama nia mbaya ama mashabiki wa Simba kufikia kupekua hilo.
Ila cha ajabu baada ya jezi za Yanga kutoka, tayari mashabiki wa Simba wameonesha kukereka na kitendo cha mbunifu wa jezi za Yanga kuweka namba tano na kuweka mkono. Hivi aliyeweka tano na mkono na aliyeweka 1 5 ni ipi inakera zaidi? Mmeacha kukereka kwenye jezi zenu wenyewe kwa kuwekewa matokeo ya November 5. Yaani kwa kifupi bango la matangazo waliokuwa wanaangaika kubandika Yanga barabarani, saivi utakutana nalo kwenye jezi za Simba ila wenyewe hawakereki wanakereka na jezi za Yanga.
Ama kweli Rage aliona mbali sana.
Pia soma: Naanza kupata wasiwasi na Sandaland kama mtengenezaji wa jezi za Simba
Ila cha ajabu baada ya jezi za Yanga kutoka, tayari mashabiki wa Simba wameonesha kukereka na kitendo cha mbunifu wa jezi za Yanga kuweka namba tano na kuweka mkono. Hivi aliyeweka tano na mkono na aliyeweka 1 5 ni ipi inakera zaidi? Mmeacha kukereka kwenye jezi zenu wenyewe kwa kuwekewa matokeo ya November 5. Yaani kwa kifupi bango la matangazo waliokuwa wanaangaika kubandika Yanga barabarani, saivi utakutana nalo kwenye jezi za Simba ila wenyewe hawakereki wanakereka na jezi za Yanga.
Ama kweli Rage aliona mbali sana.
Pia soma: Naanza kupata wasiwasi na Sandaland kama mtengenezaji wa jezi za Simba