kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Mashabiki wengi wa simba wanafikiri yanga ya zamani ndo yasasa
Zamani walizoea kuona yanga akishindwa kuingia makundi ya club bingwa na wakati mwingine ya shirikisho
Niliwahi kusema kuwa siku yanga akipata ufunguo tu wa kujua kucheza michezo ya kimataifa ndo basi ivo
Na mwaka huu mukiona yanga kaingia makundi
Nahapa mbele ya mwenzi Mungu
Kuna timu kubwa hapa barani afrika zitafungwa na yanga zikiwa nyumbani kwao
Mda utaongea
Zamani walizoea kuona yanga akishindwa kuingia makundi ya club bingwa na wakati mwingine ya shirikisho
Niliwahi kusema kuwa siku yanga akipata ufunguo tu wa kujua kucheza michezo ya kimataifa ndo basi ivo
Na mwaka huu mukiona yanga kaingia makundi
Nahapa mbele ya mwenzi Mungu
Kuna timu kubwa hapa barani afrika zitafungwa na yanga zikiwa nyumbani kwao
Mda utaongea