Nyinyi ni underdog tu ndio maana mnaiota champions league. Fainal ya losers shirikisho haiwezi kuwapa ukubwa.Huo ndio ukweli.Wewe ambaye sio underdogo hujawahi kucheza final club bingwa au ya shirikisho [emoji23][emoji81][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyinyi ni underdog tu ndio maana mnaiota champions league. Fainal ya losers shirikisho haiwezi kuwapa ukubwa.Huo ndio ukweli.Wewe ambaye sio underdogo hujawahi kucheza final club bingwa au ya shirikisho [emoji23][emoji81][emoji28]
Upo sahihiMashabiki wengi wa simba wanafikiri yanga ya zamani ndo yasasa
Zamani walizoea kuona yanga akishindwa kuingia makundi ya club bingwa na wakati mwingine ya shirikisho
Niliwahi kusema kuwa siku yanga akipata ufunguo tu wa kujua kucheza michezo ya kimataifa ndo basi ivo
Na mwaka huu mukiona yanga kaingia makundi
Nahapa mbele ya mwenzi Mungu
Kuna timu kubwa hapa barani afrika zitafungwa na yanga zikiwa nyumbani kwao
Mda utaongea
Unawaza ww ujinga wako halafu unakuja kusema mashabiki wa Simba.Mashabiki wengi wa simba wanafikiri yanga ya zamani ndo yasasa
Zamani walizoea kuona yanga akishindwa kuingia makundi ya club bingwa na wakati mwingine ya shirikisho
Niliwahi kusema kuwa siku yanga akipata ufunguo tu wa kujua kucheza michezo ya kimataifa ndo basi ivo
Na mwaka huu mukiona yanga kaingia makundi
Nahapa mbele ya mwenzi Mungu
Kuna timu kubwa hapa barani afrika zitafungwa na yanga zikiwa nyumbani kwao
Mda utaongea
Robo Karne ukijitafuta! Hahahaaaa utopolo bhana.Mashabiki wengi wa simba wanafikiri yanga ya zamani ndo yasasa
Zamani walizoea kuona yanga akishindwa kuingia makundi ya club bingwa na wakati mwingine ya shirikisho
Niliwahi kusema kuwa siku yanga akipata ufunguo tu wa kujua kucheza michezo ya kimataifa ndo basi ivo
Na mwaka huu mukiona yanga kaingia makundi
Nahapa mbele ya mwenzi Mungu
Kuna timu kubwa hapa barani afrika zitafungwa na yanga zikiwa nyumbani kwao
Mda utaongea