Mashabiki wa SIMBA watashangilia timu gani?

Mashabiki wa SIMBA watashangilia timu gani?

Wawashangilie Azam tu, Yanga hatuwataki watu wanafiki kwenye timu yetu.

Neno 'kushangilia' kwa mikia ni msamiati mkubwa sana kwa sasa, wanachojua wao ni 'kuzomea'. Ni kweli uhusiano wa Azam na mikia umeyumba sana hasa baada ya Singano kutua Azam kimaghumashi, ni wazi kuwa mikia hawataishangilia Azam bali muda wote watabaki kuizomea Yanga lakini baada ya muda watanyamaza tu!
 
Neno 'kushangilia' kwa mikia ni msamiati mkubwa sana kwa sasa, wanachojua wao ni 'kuzomea'. Ni kweli uhusiano wa Azam na mikia umeyumba sana hasa baada ya Singano kutua Azam kimaghumashi, ni wazi kuwa mikia hawataishangilia Azam bali muda wote watabaki kuizomea Yanga lakini baada ya muda watanyamaza tu!

hahahaaa au sio?
 
Yanga kushangiliwa na Simba ni dalili ya mkosi. Waendelee kuishangalia Azam ili mwakani wapigwe tena bao la kuchukuliwa mchezaji kiulaini.
 
Siko tayari na sitakuwa tayari iwe leo hata miaka ijao kushangilia yanga hata ikicheza na timu za mchangani mm ni mpinzani tu dua zangu leo yanga kwa aibu ifungwe
 
mtu na dadake wanagombana...wataelewana tu
 
Hatuwataki watu wa simba kutushangilia watatuletea nuksi.
 
Siko tayari na sitakuwa tayari iwe leo hata miaka ijao kushangilia yanga hata ikicheza na timu za mchangani mm ni mpinzani tu dua zangu leo yanga kwa aibu ifungwe

kwaiyo umeangukia miguuni mwa Azam?
 
Mikia hoyeeeee kesho sisi tupo azam, pumbaaavuuuu kbsa
 
Back
Top Bottom