Mashabiki wa Tanzania mnataka simba iifunge timu gani hapa Africa?

Mashabiki wa Tanzania mnataka simba iifunge timu gani hapa Africa?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Nawauliza mashabiki wa mpira hapa kwetu Tanzania maana naona mashabiki na waandishi wengi kama wananung"unika baada ya simba kuifyatua galaxy kwa magoli 2-0.

Je, wangependa kusikia al ahly imeshapigwa ni ya kawaida kwa simba kaizer chiefs ni ya kawaida kwa simba,wydad ni ya kawaida, Nkana ni ya kawaida,pryamid kwa sare na azam ni ya kawaida kifupi galaxy ni bora na imefungwa na timu bora zaidi.

Kifupi simba kwa haya mashindano ya Africa kwa sasa nae ni kigogo yupo ndani ya kumi bora.
Swali la kumalizia ajifungishe ili mwakani wengine wakose mbeleko au waendelee ili watoe msada kwenye tuta?

Ni hayo tu!
 
Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio.

Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa.

Na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
 
Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa, na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
Roho mbaya na wivu wa kike utawaua nyie Uto.Ifike hatua mkubali kuwa Simba imewapita level kadhaa mbele na hilo tu litawafaa kisaikolojia,vinginevyo mtaendelea kupata taabu sana...

By the way,hii Jwaneng Galaxy mngekutana nayo nyie wapuuzi ingewanyonya mavi kwenye lokundu.
 
Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa, na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
Takataka
 
Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa, na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
Msimu gani mliwahi kukubali kuwa Simba ina timu nzuri?.
 
Akuna anenung'unika isipokuwa wanaongelea uhalisia wa timu yenu ni mbovu msimu huu tunawachana live akuna kupepesa macho wala kutikisa masikio Kama mnachukia mchukie timu akuna pale nilidhani kuna mabadiliko ya kiuchezaji kumbe bado staili ni ile ile ya butua butua mipira mirefu kuwatafuta kina boko ndo mfumo pendwa kwa sasa, na kibaya zaidi mnaenyeka ata mnapocheza na vitimu vibovu Kama icho cha botswana, ngoja mda utaongea mkikutana na wanaume
Umeandika kwa hisia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba haijawahi kufunga Timu yoyote hapa Afrika then Yanga wkatulia bila ya kusema hiyo Timu ni Mbovu.
Hata Al-Ahly walisema ni mbovu
AS-Vita walisema ni mbovu ingawa wachezaji wake waliwachukua na kuwasifu kuwa ni Bonge ya machezaji
 
wanachokisema ni sahihi kwa tulipokua tumefikia msimu jana, ukweli tumerudi nyuma hatua nyingi kabla ya kufika tulipopataka, ukiondoa yale magoli ya bahati nasibu hakuna cha ziada tulichokifanya jana na mechi ya marudiano ndo itakupa picha ya nisemacho.
Mpira ni kufunga magori na hakuna bahati kwenye Mpira!!...Simba SC wamefanya vizuri!!.. Watanzania hawataki kuona tunaendelea kwenye Soko!!
 
Back
Top Bottom