Mashabiki wa Vipers SC tukutane hapa

Iweke hiyo ya CAF, nachojua mimi CAF bado hawajatoa list ya timu zote 24 zitakazoshiriki Super league. Sasa wewe unayesema Al Hilal hawapo kwenye list nipe ushahidi wa list kutoka CAF
Wanachofanya ni kukagua miundombinu ya timu mwenyeji itakayoshiriki. Si lazima wakutangazie, ukiona manyoya ujue ameliwa
 
Wanachofanya ni kukagua miundombinu ya timu mwenyeji itakayoshiriki. Si lazima wakutangazie, ukiona manyoya ujue ameliwa

Sasa kama hawajaweka hadharani timu zote 24 zirakazoshiriki. Wewe kutikuwepo kwa Al Hilal kwenye super leavue umeona wapi?
 
Sasa kama hawajaweka hadharani timu zote 24 zirakazoshiriki. Wewe kutikuwepo kwa Al Hilal kwenye super leavue umeona wapi?
Wajumbe wa CAF hawajaenda kabisa Sudan kukagua miundombinu (viwanja, hotel nk)
 
Hawa ndo wale walimlala utopolo bao mbili taifa??hawa wanajua asee
 
Wajumbe wa CAF hawajaenda kabisa Sudan kukagua miundombinu (viwanja, hotel nk)
Kwa akili yako unadhani timu zote 24 zimeshakaguliwa na wajumbe? Haya weka timu hizo 24 ambazo wewe umeona zimeendewa kwaajili ya kukaguliwa
 
Tumejaa tele
 
Tanzania na Uganda zina undugu wa damu kabisa, ndio maana Nyerere alipoona waganda wananyanyaswa na Idd Amin alituma jeshi letu kwenda kuwakomboa hawa ndugu zetu.

Kwaio sio zambi kuwasapoti Vipers. Kila la kheri kwa ndugu zetu wa vipers
Hata Mseven alikulia kwetu Izigo,akasoma Udsm na baadaye akaanzisha FRONASA.
 
Vipers maskani yake ni jiji la Entebbe na sio jiji la Kampala.
Chukua hiyoo
 
Hatimae siku imewadia rasmi, baniani mbaya ila kiatu chake dawa.

Makolo wanaona masaa yanakimbia kwa kasi ya ajabu, wanatamani yarudi nyuma.
 
Inasemekana kocha mbrazil ameenda na mizigo yake huko Uganda. Yamkini asirudi Tz tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…