Mashabiki wa Vipers SC tukutane hapa

We' UTOPOLO una kazi! Umeiponda Simba weeee kwa ile ID yako ya kawaida, ukaona haitoshi, umeamua kuitengeneza nyingine mpya, maalum kwa lengo hilo hilo! Huwa ninajiuliza, hivi ile miaka minne, mlikuwa mnaishi vipi?
 
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu[emoji23]
 
Mume wa uto fc kaliwa kimoja cha nguruwe pale st mary nyumbani kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…