Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuona Milton Karisa Leo atawaka sanaVipers watumie winga tu, mbona watampasua mtu hata 5.
Jamaa anajua sana yule, akikutana na beki zinazokabia macho kama zimbwe ni kutelezesha magoli tuNamuona Milton Karisa Leo atawaka sana
We' UTOPOLO una kazi! Umeiponda Simba weeee kwa ile ID yako ya kawaida, ukaona haitoshi, umeamua kuitengeneza nyingine mpya, maalum kwa lengo hilo hilo! Huwa ninajiuliza, hivi ile miaka minne, mlikuwa mnaishi vipi?Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.
Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.
Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.
Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.
Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
SawaVipers watumie winga tu, mbona watampasua mtu hata 5.
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu[emoji23]Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.
Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.
Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.
Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.
Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
Kwa vile alimanua Taifa paleNamuona Milton Karisa Leo atawaka sana
Wanamsaidia mume wao kumkanda baada ya kibao kimoja cha nguruweMnaendeleaje huko
KumbeeWanamsaidia mume wao kumkanda baada ya kibao kimoja cha nguruwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanamsaidia mume wao kumkanda baada ya kibao kimoja cha nguruwe