Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GONGOWAZI AKAPIGA MBUMBUMBU 2-1 TAIFA.Viper Alipiga gongowazo Taifa.
2-0
Tupo tele.Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.
Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.
Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.
Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.
Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
Defence inayoongozwa na juuko? Defence iliyogongwa 5 ndo unasema ni wagumu kufungika?Vipers silaha yao kubwa ni defence, ni wagumu kufungika (pamoja na kwamba walifungwa 5 na Raja, nazungumzia kwa ujumla). Lakini kwa upande wa kufunga mabao, sio wazuri kabisa, wanayatafuta mabao kwa tochi. Hali hii ni kote kote, kwenye CAF CL na kwenye ligi yao
[emoji134][emoji134]Empologoma okuzisiba kiringa ekyaffe bulijjo era temweraliikirira, Vipers Goal 3 Simba O bano baffe abakooye
Wewe sio mganda wewe ni shabiki la utopolo bongo wazi aka wazee wa kupigwa hamsa na SimbaUnachekesha wewe mtanzania, yaani km juzi tu mlikua mnataka kumsajili Mshambuliaji wetu manzoki? Kwaio magoli hayo aliyokuwa anafunga manzoki yalikuwa ni ya wapi? Au kumbe mlikua mnataka kusajili Mshambuliaji asiyefunga magoli??
Gongowazi akaliwa hamsa 5-0 na mnyama Simba taifaGONGOWAZI AKAPIGA MBUMBUMBU 2-1 TAIFA.
Kama Kinyumenyume FC, Ngada FC, Mapaka FC, Makolo FC walishangilia goli moja tena la kusawazisha, iweje VIPER wasishangilie goli moja tena la ushindi?Vipers hata goli moja wakipata watashangilia. Ni timu yenye ukame hasa wa mabao
Lakini wote wadhaifu..!!Simba inavuna point 6 kwa Vipers, hata kama haitaingia robo fainali. Udhaifu wao ni mkubwa kuliko wa Simba
Mwenyewe hapo ulipo, haukumbuki ni lini Kinyumenyume FC wamemfunga Yanga mara ya mwisho. Ndio maana umebakia kusimulia habari za zama za mawe!Wewe sio mganda wewe ni shabiki la utopolo bongo wazi aka wazee wa kupigwa hamsa na Simba
2013 ulikuwa bado upo skull mdogoMwenyewe hapo ulipo, haukumbuki ni lini Kinyumenyume FC wamemfunga Yanga mara ya mwisho. Ndio maana umebakia kusimulia habari za zama za mawe!
Kumfunga Yanga goli tano mwaka arobaini na saba, hakukufanyi ufuzu robo fainali CAF msimu huu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1][emoji1][emoji1]Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.
Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende
Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.
Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.
Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.
Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
Huo ni upuuzi shoga angu utakuja kujua badae...