Mashabiki wa Vipers SC tukutane hapa

Mashabiki wa Vipers SC tukutane hapa

Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.

Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende

Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.

Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.

Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.

Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
Tupo tele.
 
Vipers silaha yao kubwa ni defence, ni wagumu kufungika (pamoja na kwamba walifungwa 5 na Raja, nazungumzia kwa ujumla). Lakini kwa upande wa kufunga mabao, sio wazuri kabisa, wanayatafuta mabao kwa tochi. Hali hii ni kote kote, kwenye CAF CL na kwenye ligi yao
Defence inayoongozwa na juuko? Defence iliyogongwa 5 ndo unasema ni wagumu kufungika?
 
Unachekesha wewe mtanzania, yaani km juzi tu mlikua mnataka kumsajili Mshambuliaji wetu manzoki? Kwaio magoli hayo aliyokuwa anafunga manzoki yalikuwa ni ya wapi? Au kumbe mlikua mnataka kusajili Mshambuliaji asiyefunga magoli??
Wewe sio mganda wewe ni shabiki la utopolo bongo wazi aka wazee wa kupigwa hamsa na Simba
 
Wewe sio mganda wewe ni shabiki la utopolo bongo wazi aka wazee wa kupigwa hamsa na Simba
Mwenyewe hapo ulipo, haukumbuki ni lini Kinyumenyume FC wamemfunga Yanga mara ya mwisho. Ndio maana umebakia kusimulia habari za zama za mawe!

Kumfunga Yanga goli tano mwaka arobaini na saba, hakukufanyi ufuzu robo fainali CAF msimu huu!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwenyewe hapo ulipo, haukumbuki ni lini Kinyumenyume FC wamemfunga Yanga mara ya mwisho. Ndio maana umebakia kusimulia habari za zama za mawe!

Kumfunga Yanga goli tano mwaka arobaini na saba, hakukufanyi ufuzu robo fainali CAF msimu huu!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
2013 ulikuwa bado upo skull mdogo
 
Uzi huu ni Kwa wale wapenzi na mashabik wai vigogo kutoka Uganda hapa nazungumzia Vipers Sports Club.
Klabu hii yenye maskani yake jijin Kampala ndio mabingwa wa ligi ya Uganda.

Siku ya jumaosi tunawakaribisha Simba kutoka nchini Tanzania mchezo utakaopigwa St Mary's Stadium-Kitende

Niwatoe hofu mashabiki na wapenzi wote wa Vipers tu kuwa Jumamosi huyo Simba atapigwa sio chini ya goli 5 na ataendelea kubuluza mkia wa kundi letu paka mwisho maana yeye ndio kibonde wankundi letu.

Na Kwa wale mashabiki wao ambao Wana mpango wa kusafili kuja huku Uganda kutazama pambano hili nawaomba iyo ela Yao bora wanywee bia maana kipigo tutakachompa Simba sio cha kawaida.

Karibuni sana kuipa shavu timu yetu hii ya vipers ili tuungane na Raja kusonga mbele hatua ya robo fainali.

Mungu ibariki Uganda, Mungu ibariki Afrika Mashariki[emoji120]
[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Defence inayoongozwa na juuko? Defence iliyogongwa 5 ndo unasema ni wagumu kufungika?
Unanicheka Mimi kuhongwa 5-0 Morocco?We si umegongwa 3-0 nyumban kwako na Hawa Raja? Kule jijini Casablanca utagongwa zaidi ya goli 10 nakwambia
 
Back
Top Bottom