Mashabiki wa Yanga jana waliamini wanashinda goli 4 kama walivyoaminishwa!

Mashabiki wa Yanga jana waliamini wanashinda goli 4 kama walivyoaminishwa!

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Nikiwa katika mihangaiko yangu tu ya hapa mjini, nikapita katika vijiwe viwili tofauti vya mashabiki wa Yanga SC, niligundua kumbe ni kweli jana mashabiki wengi waliamini Msudan angekufa kwa magoli 4 .

Wasiwasi wangu hii tabia ya kuwaaminisha mashabiki ni kitu kibaya, sijui hao waliko Angola watapigwa goli ngapi leo?
 
Mi naona kibarua Cha Nabi kipo rehani. Akishindwa kuingia makundi kombe la washindi na Kisha akashindwa makundi shirikisho kazi hana
 
Nikiwa katika mihangaiko yangu tu ya hapa mjini, nikapita katika vijiwe viwili tofauti vya mashabiki wa Yanga SC, niligundua kumbe ni kweli jana mashabiki wengi waliamini Msudan angekufa kwa magoli 4 .

Wasiwasi wangu hii tabia ya kuwaaminisha mashabiki ni kitu kibaya, sijui hao waliko Angola watapigwa goli ngapi leo?
Kuna baadhi ya wanautopolo a.k.a mavi fc wanasema Ibenge aliongea na wakongo wenzie akina bangala wakauza mechi.

Yaani wameaminishwa vibaya sana kuhusu hii timu ndio maana wanafikia kuhisi mechi imeuzwa
 
Kuna baadhi ya wanautopolo a.k.a mavi fc wanasema Ibenge aliongea na wakongo wenzie akina bangala wakauza mechi.

Yaani wameaminishwa vibaya sana kuhusu hii timu ndio maana wanafikia kuhisi mechi imeuzwa
Itakuwa kweliii maana aiwezekan kabisaaa watufanyie ushwaini uleee
 
Daah Mimi sijatia neno kwa utopolo maana najua kuanzia SAA kumi na mbili yote haya yanaweza turudia wana simba ,so tuwe na break kidogo coz hata sisi ni tia maji tu
 
Hivi mechi ya simba inaanza saa ngapi? Maana tumechoshwa sasa na hizi habari za kujirudia rudia.
Hujalazimishwa kuzisoma wewe zipotezee tu maisha yaendelee tatizo wewe unataka ujibu kila post,utarukwa akili bure humu watu wanajazana upepo tu si zaidi ya hilo mjomba.
 
Hujalazimishwa kuzisoma wewe zipotezee tu maisha yaendelee tatizo wewe unataka ujibu kila post,utarukwa akili bure humu watu wanajazana upepo tu si zaidi ya hilo mjomba.
Mwenzako ameshanijibu hapo juu. Nipo sehemu muda huu nasubiri mpira uanze.
 
Nikiwa katika mihangaiko yangu tu ya hapa mjini, nikapita katika vijiwe viwili tofauti vya mashabiki wa Yanga SC, niligundua kumbe ni kweli jana mashabiki wengi waliamini Msudan angekufa kwa magoli 4 .

Wasiwasi wangu hii tabia ya kuwaaminisha mashabiki ni kitu kibaya, sijui hao waliko Angola watapigwa goli ngapi leo?
Wa Angola ni wawakilishi original wa Taifa, hao wa matopeni ni wa mchongo lopo lopo
 
Back
Top Bottom