Mashabiki wa Yanga sc puuzieni tetesi zisizo na mashiko zinazosambazwa JF member kuwa Yanga sc inafanyiwa fitina huko algeria.

Mashabiki wa Yanga sc puuzieni tetesi zisizo na mashiko zinazosambazwa JF member kuwa Yanga sc inafanyiwa fitina huko algeria.

$@$$$@$@*!!*$$@¥€£₩?????
Kama wembe upo karibu tumia huo kabisa. Lakini YANGA ndio hiyooooo huko ambako hamjawahi kufikia. Najua unawaza hadithi za kombe la chief abiola.
 
Kiufupi kikosi kipo katika mikono salama na Raisi wa Yanga sc Eng. Hers kafanya interview na kumshukuru Raisi wa nchi Mama Samia Hasani kwa kutoa ndege.

Lakini pia waziri wa sanaa na michezo Dkt Pindi Chana na balozi wa Algeria Jackob Kingu walikwenda kuitembelea kambi ya Yanga nakuwatia moyo wachezaji.

Yanga sc ipo katika mikono salamaView attachment 2643681View attachment 2643682View attachment 2643683
Mwambieni Waziri wenu kuwa na hata Kesho Yanga SC ikitota kwa Kufungwa na USMA Goli 3 kwa 0 au 4 kwa 0 aendelee kuwa na Vibe hili hili kama alilosikika nalo leo sawa?
 
Kiufupi kikosi kipo katika mikono salama na Raisi wa Yanga sc Eng. Hers kafanya interview na kumshukuru Raisi wa nchi Mama Samia Hasani kwa kutoa ndege.

Lakini pia waziri wa sanaa na michezo Dkt Pindi Chana na balozi wa Algeria Jackob Kingu walikwenda kuitembelea kambi ya Yanga nakuwatia moyo wachezaji.

Yanga sc ipo katika mikono salamaView attachment 2643681View attachment 2643682View attachment 2643683
JF wa yanga hawachezi uwanjani humu ni mbwembwe tu
 
Baadae hatutak habar za sisi tumevaa [emoji966] na kujifarij na vimaneno uchwara .
Tulishakubalina ukubwa wa timu ni kushinda kombe tofaut na hapo huna tofaut na zalan
 
Baadae hatutak habar za sisi tumevaa [emoji966] na kujifarij na vimaneno uchwara .
Tulishakubalina ukubwa wa timu ni kushinda kombe tofaut na hapo huna tofaut na zalan
Simba wana kombe lipi?
 
Back
Top Bottom