Uto Anapigwa leo mbona.Leo Uto anaokota alama moja...
Kwani Abuya ni kiungo mkandani?Yanga bingwa
Aje kiungo Mkabaji tu
Abuya namba 8Kwani Abuya ni kiungo mkandani?
Beki mbadala wa Job ni nani?Abuya namba 8
ile thread ni nadra mno kufikika.Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread
Ipo thread ya Yanga kwa ajili ya mambo kama haya. Tukajadili kule
Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread
yanga ilianzishwa mnamo mwaka 1935 na inasemekana ndo klabu kongwe na yenye mafanikio zaidi hapa nchini. klabu hii ilianzishwa na wazalendo halisi wa nchi hii waliokuwa wakiji shughulisha na uchuuzi wa nazi na samaki na muda wao wa jioni ulipofika walikuwa wakijumuika pamoja kusakata kabumbu na...www.jamiiforums.com
Ndio maana nimekuwekea link hapoile thread ni nadra mno kufikika.
Kamfanyie mkutano MangunguTunahitaji mkutano Mkuu wa dharura, Hersi anahitaji kufundwa kama sio kuonywa