holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Tubadilishane mawazo,maoni na mapendekezo kuhusu klabu yetu,uimara wa timu,udhaifu,tujadili hapa,ikumbukwe jf ni uwanja mpana,najua injinia hersi hupita humu so maoni au mapendekezo yako yatachukuliwa moja kwa moja na kiongozi mwandamini wa klabu yetu.
Mamluki nanyi mnakaribishwa. Karibuni.
Mamluki nanyi mnakaribishwa. Karibuni.