Mrao keryo
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,901
- 2,566
Mashabiki wa timu ya Yanga walikuwa wametoka dar kurejea Songea kupitia njia ya Lindi wamepata ajali asubuhi maeneo ya huria wilaya ya Namtumbo !
Dereva kashindwa kukata kona.
Hakuna vifo bali majeruhi kadhaa!chanzo mdau aliekuwepo kwenye gari!
Dereva kashindwa kukata kona.
Hakuna vifo bali majeruhi kadhaa!chanzo mdau aliekuwepo kwenye gari!