Mashabiki wa Yanga walikuta bango la 5G za Simba Zambia

Utopolo bwana mnajifariji na 5g, mnajua mnaenda kutalii tu huko ndo maana. Kwanza embu chekin odds mlizopewa 🤣🤣🤣
 
Lkn sio Kwa Simba vs Yanga
 
Ubunifu mkuu
Kwamba kutangaza matokeo kwenye mabango ya biashara ni ubunifu ambao tangu kuanzishwa kwa mabango haujawahi fikiriwa mpaka Yanga walipoufanya? Ubunifu huo atakayeuiga kaiga ujinga.
 
Kwamba kutangaza matokeo kwenye mabango ya biashara ni ubunifu ambao tangu kuanzishwa kwa mabango haujawahi fikiriwa mpaka Yanga walipoufanya? Ubunifu huo atakayeuiga kaiga ujinga.
Tuwape credit Yanga.....wameleta jambo hili jipya
 
Reactions: Tsh
Sisi ni watani lakini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…