Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
#MICHEZO: Mashabiki wa Yanga, wanaosafiri kuelekea mji wa Pretoria, Afrika Kusini kwaajili ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns, tayari walipowasili katika mji wa Lusaka, Zambia walikuta bango la 5G
-
Mashabiki hao walipokelewa kwa shangwe na watanzania ambao ni wapenzi wa klabu ya Yanga, waishio nchini Zambia huku waki-share nao taarifa mbalimbali ikiwemo la kumipga mtani wao Simba SC goli 5-1 kwenye dimba la Mkapa.
Imagine hata Zambia....Kuna bango la kichapo Cha 5 [emoji113] Kwa kolo[emoji32][emoji32]
-
Mashabiki hao walipokelewa kwa shangwe na watanzania ambao ni wapenzi wa klabu ya Yanga, waishio nchini Zambia huku waki-share nao taarifa mbalimbali ikiwemo la kumipga mtani wao Simba SC goli 5-1 kwenye dimba la Mkapa.
Imagine hata Zambia....Kuna bango la kichapo Cha 5 [emoji113] Kwa kolo[emoji32][emoji32]