Mashabiki wa Yanga waonesha weledi mkubwa sana kwenye soka letu, wapewe maua yao

Timu yetu imetupa mafanikio mengi, nyakati chache kama hizi za kuanguka haziwezi kuondoa heshima na furaha walivyotupatia.
Sasa mbona kelele nyingi mtaani Mara mnalogwa.Sijui uwanja wa Azam hauwafai.Mara TFF,Tena jana msiseme Refa anapemdelea sababu penalt ya kipumbavu mmepewa mkakosa.
 
Mashabiki wa Yanga wana akili timamu. Na hata panapotakiwa kukosoa (penye udhaifu), huwa tunakosoa kwa staha, na pia kwa kujenga hoja!
 
Masau Bwire anauliza: "Mnasema mna kikosi kipana lakini baadhi ya wachezaji wakikosekana mnaanza kulia lia, je mmepanuka wapi nyuma, mbele, katikati au wapi?
 
Kalpana njoo utupe pole na kutupongeza kwa kutovurugana na kutuhumiana kama Magoli na Mangungu walivyo toa tuhuma Simba ilipopoteza.
Hongera mtani labda ni wewe tuu nikwambie... ila sehemu zingine mashabiki wa uto ni fujo na balaaa...
 
Ukweli ni kwamba mnajitutumua ili muonekane wastaarabu ila nyie ni wale wale kasoro tarehe...bwahahahhaahh mtupishe huko...
Mmefungwaa na walina asali...mnapumulia tuu kwa ndani
 
Kwahiyo mnataka tuwasaidieje?
 
Mashabiki wa Yanga wana akili timamu. Na hata panapotakiwa kukosoa (penye udhaifu), huwa tunakosoa kwa staha, na pia kwa kujenga hoja!
Etiiew..mna akili..si walisema wenye akili ni wawili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…