Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,061
Hivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzalendo huwa namchukulia tahira au kichaa fulani hivi.Serikali imepiga marufuku mashabiki wa Yanga kuishangilia timu ya AS Vita kwani kufanya hivyo ni kukosa uzalendo
Kutakua na askari uwanjani watakaokuwa wanaaangalia mashabiki wote wanaoishangilia AS Vita na watawakamata mara moja..
Hakika mkuu nitakuwa pamoja nawe pale Centro tukishangilia kwa pamoja ushindi wa As Vitakesho njooni mnikamate kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kila la heri As vita
halafu acheni kuizushia serikali mambo ya ajabu, eti itakamata mashabiki wa Yanga?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkia Fc mbona mnateseka...
Kipigo kipo palepale[emoji851][emoji851]
Sent using Jamii Forums mobile app from my iPhone 5s
Hakika mkuu nitakuwa pamoja nawe pale Centro tukishangilia kwa pamoja ushindi wa As Vita
CC Zero IQ
kesho njooni mnikamate kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
kila la heri As vita
halafu acheni kuizushia serikali mambo ya ajabu, eti itakamata mashabiki wa Yanga?? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani ni lazima wewe kwenda uwanjani wakati timu yako haichezi taifa?? Si bora upande chaula express uwahi IRINGA ushangilieHivi ni lazima kushabikia timu ya nyumbani? Kama ni hivyo kiingilio kiwe bure. Siwezi kutoa pesa halafu unipangie timu ya kushabikia. Wanaohimiza watu wawe wazalendo ndiyo hao wanakula national cake pekee yao. Mtu akiniambia mambo ya uzaalendo huwa namfananisha tahira au kichaa fulani hivi.
Dawa hapa ni kushtaki FIFA tu au wasemajeFIFA hawataki viserikali uchwara kuingiza pua zao kwenye michezo