Mashabiki wa Yanga

Mashabiki wa Yanga

shuka chini

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2024
Posts
842
Reaction score
1,928
Habari wadau.

Nimekuwa nikifuatilia mada za Wanayanga tangu game ya simba huko Libya. Wamekuwa wakija na hoja vunjifu hoja katishi mmoja kasema kuhusu simba hajapiga shuti la kulenga goli mara mwingine kaja na hoja za kuja kufungwa huku Dar.

Hapo awali stori ilikuwa ni Mabululu na habari za Kagoma.

Kwasasa ningewashauri nyie utopolo mkiongozwa na laban og .mjaribu kujikita na timu yenu kuliko kuhangaika na mnyama maana kinachofuata ni kupata aibu.

ENYI UTOPOLO NANI ALIYE WAROGA
 
Habari wadau.

Nimekuwa nikifuatilia mada za Wanayanga tangu game ya simba huko Libya. Wamekuwa wakija na hoja vunjifu hoja katishi mmoja kasema kuhusu simba hajapiga shuti la kulenga goli mara mwingine kaja na hoja za kuja kufungwa huku Dar.

Hapo awali stori ilikuwa ni Mabululu na habari za Kagoma.

Kwasasa ningewashauri nyie utopolo mkiongozwa na laban og .mjaribu kujikita na timu yenu kuliko kuhangaika na mnyama maana kinachofuata ni kupata aibu.

ENYI UTOPOLO NANI ALIYE WAROGA
timu yetu ipokamili gado ku deal na akina Ahly,Mamelodi ma giant wenzetu pale mjini klabu bingwa,tunachofanya sasa juu yenu ni kuwakera,kuwastress mpk mtembee na boxa kichwani
 
timu yetu ipokamili gado ku deal na akina Ahly,Mamelodi ma giant wenzetu pale mjini klabu bingwa,tunachofanya sasa juu yenu ni kuwakera,kuwastress mpk mtembee na boxa kichwani
Mtajikuta mnatembea nazo nyie..
 
Back
Top Bottom