Mashabiki waiponza Yanga, yapigwa faini, Dickson Job AFUNGIWA MECHI TATU, refa wa Simba naye ametumbuliwa

Mwamuzi wa mechi ya Simba naona kama ameonewa tu, Lile kosa la Ofside ya Kagere aliyestahiki kupewa adhabu ni mshika kibendera (Mwamuzi msaidizi No-2) sio refa wa kati.
Naungana na wewe mkuu KANYIMBI ila samahani user name yako inafanana na kijijini kwetu aisee 😀😀
 
Hiyo ni Mbeya kwanza. Hapa ni penalty
Mwamuzi wa mechi ya Simba naona kama ameonewa tu, Lile kosa la Ofside ya Kagere aliyestahiki kupewa adhabu ni mshika kibendera (Mwamuzi msaidizi No-2) sio refa wa kati.
 
Wale waliandaa press conference kushtumu waamuzi.

Nilisema kuwa TFF pamoja na TPLB wananoa panga kuja kuwafyeka vilivyo.

Haya sasa Ndoano imekwama kwenye Koo.
 
Mwamuzi wa mechi ya Simba naona kama ameonewa tu, Lile kosa la Ofside ya Kagere aliyestahiki kupewa adhabu ni mshika kibendera (Mwamuzi msaidizi No-2) sio refa wa kati.
Mechi ya Simba Vs Mbeya Kwanza haijajadiliwa hapo. Aliyefungiwa ni mwamuzi aliyetoa Penati isiyokuwepo Simba Vs Prison.
 
Mwamuzi wa mechi ya Simba naona kama ameonewa tu, Lile kosa la Ofside ya Kagere aliyestahiki kupewa adhabu ni mshika kibendera (Mwamuzi msaidizi No-2) sio refa wa kati.
Kosa ilikuwa ni mwamuzi kuwapa simba penati. Offside ilikuwa ni simba vs Mbeya kwanza. Msichanganye mambo.
 
Lakini kumuadhibu mwamuzi ilihali timu imeshajipatia alama tatu za uzurumati haisaidii kitu.
 
Waboreshe viwanja vya mikoani kisha walete VAR kwa sababu kama wazungu tu wameshindwa sasa sisi ndio nani.

Kuna vilabu vimepata pointi za bwerere kabisa kufuatia maamuzi yasiyo ya haki toka kwa marefa wasioelewa vizuri sheria hasa za kuotea.
 
Logo ya GSM inafanya nini kwenye tangazo ilihali alishajitoa kwenye udhamini au bado anakula na TFF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…