Mashabiki walalamika kuibiwa hela za show dar

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Mashabiki wengi waliofulika kwenye show ya jana dar ambayo ilikuwa na mastaa wengi mmoja kutoka USA na SA pamoja na na wale wa hapa bongo kama v money, dimond, weus pamoja navy kenzo watu waliohudhulia wanadai ile show ilikuwa mbovu sana haijapata tokea

Shabiki mmoja anadai kuna wasanii walikua wanalazimisha kujifanya kupiga show kama wako mbele wakati hawawez kitu kama hicho afu kitu kingine baadh yawatu wanalalama mkata kiuno ile show aliiharibu sana

Malalamiko ni mengi sana kwakweli
Watu wanadai show ilikuwa na promo kubwa lakin yenyewe ikawa mbovu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitakiwa utoe hoja hizi kama mhudhuriaji. Mzee umesimuliwa tu tayari umeanzisha uzi, je ungelipiwa kiingilio si ingekuwa balaa.
 
Mask off

Sent from my Exclusive Y30-U00 using JamiiForums mobile app
 
unadai wanalalamika emu wataje hao wanaolaumu....au wewe ndo unalaumu peke ako kwakuwa una chuki na wasanii fulani
 
h
Hivi team kiba bado mpo tu jamaniii,maana naona mmetawanyika kama nyumbu,mara wengine mmeenda kwa DARASSA wengine mkaona msepe na bwana BARAKA PRINCE wengine mkaona mfe na jahazi tu maana vita ya CHIBU DANGOTE HAIKUWAHI MUACHA MTU SALAMA KABISAAA
 
Kumbe anae tupa habari nae kapewa habari. !!

Chuki ugonjwa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…