Mashabiki walivyojitokeza kumpokea Zari Mlimani City

Unajitahidi sana kutafuta attention kwangu but nah shosti huna jipya kama kidomo cha chuchunge
NAJITAHIDI KUKUFANYA UONEKANE BIBI BORA MAANA WAZEE WENZIO WANAJIHESHIMU
 
Hivi watanzania ni washamba wa asili au ni wajinga tu wasio na la kufanya kushabikia vitu na kupenda kupoteza muda?
 
Wanawake wengine akili akunaga.diamondi alivyomdhalilisha na kumsema vibaya mara mkubwa kiumri mara nn leo anajikomba. Asubiri akiondoka.
Plus kina esma kumnanga eti anapenda show off...nakumbuka tuliambiwa tanasha yupo simple Hana show off za kijinga anakaa kwenye mansion mbezi lkn hajawahi kumuonesha mtu.....hao ndio watandale bwana wanasifia chochote kinachofanywa na ndugu yao. Kiwe kibaya au kizuri
 
Kabisaaa
 
Nilichogundua ni kwamba Wanaume wengi wa Kiafrika hawajui sex, maneno mengi tu, hivi kama kweli unajua sex unawezaje kutaka kulala na Mwanamke wa miaka 40 ? I mean, labda muwe mmezeeka wote na mko pamoja miaka yote hiyo hapo sawa au labda kuna kitu unataka kwake mbali na sex labda mkwanja kama anao au akupe maconnection lkn kama unataka tu sex halafu umtokee Mwanamke Mzee kiasi hicho, ni sex gani utapata ? Hata biology tu inakataa ,ukitaka sex tafuta demu 20 's amezidi sana late 20's lkn vinginevyo mpaka 26, ulishaona Hollywood actor Mwanaume hata Mzee anatoka na mwanamke miaka 40 ? Wote wanachukuwa totos dogodogo 20 's hapo, ...

Idrisa Elba huyo na mtoto mbichi dadadeki, ...

a
 
The more man tries to make life simple, the more it becomes complicated. However, for these people of the Kalahari desert every day can be Sunday.
 
Duh! Seriously?

Uko wapi wewe? Ushawahi toka hata nje ya Tanzania, achilia mbali Afrika?

Ashton Kutcher na Demi Moore mbona walikuwa wanandoa licha ya kuzidiana kiumri....

Na mwanamke wa miaka 40 ana tatizo gani?
 
Duh! Seriously?

Uko wapi wewe? Ushawahi toka hata nje ya Tanzania, achilia mbali Afrika?

Ashton Kutcher na Demi Moore mbona walikuwa wanandoa licha ya kuzidiana kiumri....

Na mwanamke wa miaka 40 ana tatizo gani?

Mwanamke wa 40 hana tatizo lolote kwanza ni wazuri kimaongezi kwa kuwa wana uzoefu hata financially wanakuwa wako vizuri hivyo inategemea unataka nini kwa huyo Mwanamke na pia uwezo wako kiuchumi, kama ni ni sex hakuna substitute ya young chick, lkn kila mtu na test yake binafsi kwa umri kama wa Mondi 31 na mkwanja na fame yote nisingelala na Mwanamke 40‘s labda kama angekuwa na michongo, lkn 40‘s keshazaa watoto 5 au zaidi, WTF? Mimi zangu mademu 20‘s tu forever, ...
 
Ni ukosefu wa akili tu,hakuna lingine
 
Nani aliyekwambia kuwa sex na mwanamke wa miaka 40 si tamu? Ushawahi kulala na wanawake wangapi wenye umri wa 40+?

Au ni assumptions zako tu?

Emmanuel Macron, unamjua huyo? Ni Rais wa Ufaransa. Moja ya mataifa makubwa duniani.

Mkewe ana miaka 67 huku yeye Emmanuel ana miaka 42.

Fanya mahesabu mwenyewe uone tofauti yao ya ki-miaka.

Pia kuna Priyanka Chopra na Nick Jonas...wa Google uone.
 

Mwanamke 40 keshaingia Meno Pause sex gani hiyo utakuwa nayo ? Hawezi hata kugeuka akifanya hivi mgongo unauma ukimwambia hivi mara kukavu subiri stress ziishe, halafu wengi wanakuwa wanene wakishavuka 35, lkn labda kila mtu na ladha yake, BTW Macron ni gay anazuga tu na huyo Mwanamke kwa maana bado Ma gay wana ishu ya kukubalika hasa kwenye Uraisi, lkn Macron ni gay, ...
 
Ila hao ndugu zake diamond daaah Ni wanafiki wa kiwango Cha standard gauge

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Naona unafanya assumptions tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…