Mashabiki walivyojitokeza kumpokea Zari Mlimani City

Barbarosa wewe upo Kama mimi
 
Hajielewi huyu mwanamke bora amkomeshe tu. Subiri akiondoka
Kipindi Wana ugomvi kila mmoja alikuwa anatoa yake ya moyoni lakini Zari alienda mbali mpaka akawa anatukana akamwita mondi mbwa ikiwemo kwenda Hadi BBC Swahili kufanya interview sasa unavyosema Diamond kamdhalilisha Zari wakati tuliona wanadhalilishana hapo sijakuelewa
 
I can assure you amekuja kutumbua yale mabulungutu ambayo Diamond aliyaanika wiki chavhache zilizopita

Nadhani moyoni alijisemea usntanie wewe unaanika pesa namna hiyo? Ngoja nije bongo kwa kisingizio cha kuleta watoto 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…