Jamani hyo sura yake hapana aisee nilimuona nika choka. Hafu ndo anajifanya Angelina Jolie na ile sura.
Kaongea ukweli wake...
hiyo sura anajifanyisha ili afanane na Angelina Jolie koh koh atabinua mno mdomo,Angelina hafanani nae hata kidogoo
Ninapoongea kuhusu Bongo Movie nalazimika kuweka akiba manake wakati mwingine huwa nakuwaga nao hawa jamaa but you know what?Nimecheka mie maana boti hilo tupo wengi
Mie nilipoangalia zamani hata majina sikumbuki yaani walivyokua wote wanavuta sauti wanaume kwa wanawake kama vile lazima wote waongee hivyo nilichoka, nikakuta sio mimi tu pia kuona hivyo.
Mtu huwezi kusema ndivyo tuongeavyo wanaharibu kutoacha wasanii watumie sauti zao za kawaida...huo mvutooooo sijui wa kabila au eneo gani unaboaaa na nikasepa mie kitambooooooo
Tatizo ni kwavile tu ame-declare hadharani lakini si yeye peke yake... I mean wapo kibao tu among themselves, ni kama huyo Irene tu... hawaaangalii!Yes, ila angeangalia impact kwa jamii, ina maana anavyosema haangalia ndo tumuone mzungu sana au? Kama na sisi tukisema hatuangalii atakula wapi? Bora hayo maneno angesema lady Jaydee mwanamuzik lakini sio yeye, hakufanya vyema ata kama kwel haangaliii
Kosa la Director hilo... inawezekana yeye ndivyo alivyoumbwa sasa director ndie anatakiwa ku-control and maintain emotions za scene husika!Hiyo tuzo walikosa wakumpa..maana huyu dada hajuhi kuigiza hata kodogo..sehemu ya kuongea kwa upole yeye anaongea kwa ukali hadi mishipa inamtoka...
Kosa la Director hilo... inawezekana yeye ndivyo alivyoumbwa sasa director ndie anatakiwa ku-control and maintain emotions za scene husika!
Wataisoma namba, yani apa kama wamenifufua upyaa nianze kazi kwa kasi, kuna watu wanashilikiana kunifanyia fitna, mbona watachora hewani mwaka huu
Ni kweli character traits ya irene ni kama yeye alivyo, yani anavyopayuka na kupanick, ndivyo alivyo, apo ni kazi ya director kuangalia je cast ninayoitaka inaendana na huyu mtu? Tatizo ma director's hawaangalii character traits, wanaangalia umaarufu tu na sura nzuri ndio maana sometimes muigizaji anaonekana mbaya kumbe director ndio hakufanya casting vzur,
wenzetu kule hollywood wana uwezo wa kumbadilisha mtu totally, huku bado hatuna training ya hivyo, wenzetu wana training ya nguvu kuhusu characterization ,yani unakuta warumi watu wamemzoea mtu mbea mbea ila wenyewe wana uwezo wa kunibadilisha akili na attitude completely kuwa mtu wanaomtaka wao kupitia trianing
Tatizo ni kwavile tu ame-declare hadharani lakini si yeye peke yake... I mean wapo kibao tu among themselves, ni kama huyo Irene tu... hawaaangalii!