Mashabiki wanao Mshindanisha Diamond na wasaniinwengine Wa bongo hii ndo Fursa

Ww kaka naona hufutiliagi maswala ya burudani domo ndo anaongoza record ya kuujaza huwo uwanja wa dar live kupita msanii yyt bongo
Sisemei kujaza hata kwenye mtihani unaweza ukajaza booklet hata tatu lakini ukapata marks 2 na mwngne akaja nusu akapata marks 60 kujaza anajaza ila ku perform ajifunze live band yenyew nahisi ndo anaifanyia mazoezi now kuimba live hawezi
 
 
Sisemei kujaza hata kwenye mtihani unaweza ukajaza booklet hata tatu lakini ukapata marks 2 na mwngne akaja nusu akapata marks 60 kujaza anajaza ila ku perform ajifunze live band yenyew nahisi ndo anaifanyia mazoezi now kuimba live hawezi
Ebu kaangalie show kama mbili zilizopita ile ya zanzibar na zim uone kama alikuwa hapigi live band
 
Mapovu yanawatoka.....wengine hawana roho mbaya kama nyie.

Nyie fanyeni show yenu kwa uhuru tu hakuna hakaewafanyia ujanja ujanja.

Ila mkae mkijua bila Darassa kuwepo kwenye show haji mtu huko.
Mpaka tarehe 20 /12 ilikua bado kidogo tiketi kwisha
Ukicheza, na wcb utaumia
 
Wakati nyie mmeshajitangaza kwa kipindi kirefu halafu mnatoa wazo sasa? mngetoa tangazo kabla hamjaanza kutangaza show yenu ya kikundi, kuna mdau alikuwa na mpango wa kuandaa show ya Darasa pindi mtakapo sema tarehe yenu ya show mapema.
Darasa ana nyimbo ngapi? Labda aazime za wenzake au kwa weusi
 
Sisemei kujaza hata kwenye mtihani unaweza ukajaza booklet hata tatu lakini ukapata marks 2 na mwngne akaja nusu akapata marks 60 kujaza anajaza ila ku perform ajifunze live band yenyew nahisi ndo anaifanyia mazoezi now kuimba live hawezi
Kaenda zimbambwe kapiga live band kaenda malawi kapiga live band unataka nini tena?

Ww nikati ya wale wanaosemaga subiri akifilisika atakoma
 
sifa nzur ni pale tu utakapokufa
 
Kiba na timu yake waandae show Dar live mkesha Wa Christmas ?[emoji23] nakumbuka Mwanafa alifanya hivyo kwa Jide lakini wote walijaza

Kaka kumbuka vizur mwana FA hata hakujaza walichofanya wakapunguza had kiingilio wanafunz wa IFM wakafanya kujazana tu lkn ukwel halisi Komando jide ndo aliibuka kidedea.
 
Darasa ana nyimbo ngapi? Labda aazime za wenzake au kwa weusi
Ficha ulimbukeni wako kwa kusema kitu usichokijua.

Nyie wanaume wa mikoani ndio mnaodhani Kuwa Darassa ni chipukizi eboooooooo
 
Kifaranga kataga,mgonjwa katibu mganga,mwenye nyumba kapanga,ana zigo la kuvunja chaga hapana chezea WCB tishio kwa awamu ya tano kama anko Magu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…