Mashabiki wapagawa na vionjo vya album mpya ya Diamond

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066

Akiwa ameweka vionjo vya nyimbo zitazopatikana kwenye album yake mpya ya a boy from tandale.

Washabiki wamepagawa sana wakionyesha mzuka wa hali ya juu.

Leo ameweka nyimbo alizoimba na Lavalava na nyingine na Mbosso.






Ama kwa hakika Diamond ndio mfalme wa muziki africa kwa sasa amekosa mpinzani.

Mamillioni ya waafrica wanaisubiri kwa hamu album yake.
 
"Mamillion ya waafrika wanasubiri kwa hamu album yake"?
 
Hivi hizo za mboso sijui na lavalava sio bonus tracks kwel? Maana sijaona kwenye list kama watakuopo ndani ya album
 
basi wewe umeshajideclare kuwa ni hard fan halafu unatuletea porojo zako apa
 
Hizo screenshot mbona naona n vijana wa tandale, tandika,mbagala, buguruni, kolomije Ila sijaona hata wa Malawi/Zambia/Zimbabwe sasa unazungumzia Africa ipi ndugu
 
Hizo screenshot mbona naona n vijana wa tandale, tandika,mbagala, buguruni, kolomije Ila sijaona hata wa Malawi/Zambia/Zimbabwe sasa unazungumzia Africa ipi ndugu

album inazinduliwa nairobi watu uko ss awalali wanaingojea
 
Hizo screenshot mbona naona n vijana wa tandale, tandika,mbagala, buguruni, kolomije Ila sijaona hata wa Malawi/Zambia/Zimbabwe sasa unazungumzia Africa ipi ndugu
tuheshimu basi wakazi wa huko
sisi wenyewe ni watanzania
 
Diamond platnumz na Ali kiba nina wakubali kwa sababu ni wasanii wa Tanzania wanaofanya vyema kwenye tasnia ya muziki, ila namkubali zaidi msanii WIZ KID.
[emoji23] [emoji13] [emoji119] [emoji119]
 
Diamond platnumz na Ali kiba nina wakubali kwa sababu ni wasanii wa Tanzania wanaofanya vyema kwenye tasnia ya muziki, ila namkubali zaidi msanii WIZ KID.
[emoji23] [emoji13] [emoji119] [emoji119]

penda vya nyumbani
 
Africa ipi unayoizungumzia?!isije Kuwa afrika Bambataa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…