Mashabiki Wavamia Uwanja Old Trafford.

Mashabiki Wavamia Uwanja Old Trafford.

Game itapigwa saa 21:30
IMG-20210502-WA0025.jpg


Hii Tweet ili measlead.
 
Glazer family imekomaa, haitaki kuondoka mana inaona utamu wa mahela yanayoingia
 
Mkuu hao wamiliki wao ni parasite, wanajilipa mamilioni wenyewe kama 'Consultant fees' kila mwaka wakati uwanja umechoka unahitaji marekebisho, mvua ikenyesha panavuja 😂😂
Timu ni yao lakini wana haki ya kufanya chochote mashabiki wakichoka bora wasuse kuingia mpirani
 
Mkuu hao wamiliki wao ni parasite, wanajilipa mamilioni wenyewe kama 'Consultant fees' kila mwaka wakati uwanja umechoka unahitaji marekebisho, mvua ikenyesha panavuja [emoji23][emoji23]
Pamekua Kwa bibi au vile vya CCM [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom