Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
- Thread starter
-
- #21
BREAKINGasante kwa info,maana nimekaa tu hapa sielewi kitu. ngoja nisepe
Mashabiki wanalalamika kuwa uwanja unavuja mvua zikinyesha.Glazer family imekomaa, haitaki kuondoka mana inaona utamu wa mahela yanayoingia
Timu ni yao lakini wana haki ya kufanya chochote mashabiki wakichoka bora wasuse kuingia mpiraniMkuu hao wamiliki wao ni parasite, wanajilipa mamilioni wenyewe kama 'Consultant fees' kila mwaka wakati uwanja umechoka unahitaji marekebisho, mvua ikenyesha panavuja 😂😂
Ikawaje? Walifanikiwa?Mie siwatofautishi mashabiki wa Manchester na Yanga.
Mwaka flani walimfata loyd nchunga nyumbani kwake kimara. Eti ajiudhuru.
Unadhani zile 5-0 zinatokana nini?. Walifanikiwa baada ya kuihujumu timu. Lakini kabla jamaa aligomaIkawaje? Walifanikiwa?
Kwamba walifanya kusudi kupigwa 5?Unadhani zile 5-0 zinatokana nini?. Walifanikiwa baada ya kuihujumu timu. Lakini kabla jamaa aligoma
Tatizo hawaendelezi miundombinu ya klabu, wanachota tu profits kila mwakaTimu ni yao lakini wana haki ya kufanya chochote mashabiki wakichoka bora wasuse kuingia mpirani
Kwa timu mzima siorahisi sana, lakini kwa wachezaji wachache inawezekana.Kwamba walifanya kusudi kupigwa 5?
Pamekua Kwa bibi au vile vya CCM [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mkuu hao wamiliki wao ni parasite, wanajilipa mamilioni wenyewe kama 'Consultant fees' kila mwaka wakati uwanja umechoka unahitaji marekebisho, mvua ikenyesha panavuja [emoji23][emoji23]
Wale jamaa wapo kuikamua Manutd mwanzo mwisho, wahuni wale.Mashabiki wanalalamika kuwa uwanja unavuja mvua zikinyesha.
Aachie timu kisa uwanja unavuja[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]akiamua kuutengeneza je watatuliaMashabiki wanalalamika kuwa uwanja unavuja mvua zikinyesha.
Hiyo ni sababu moja wapo waliyotoa.Aachie timu kisa uwanja unavuja[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]akiamua kuutengeneza je watatulia