Mashabiki Yanga wako tayari kuichangia timu yao ishinde

Huna ata mia wewe kapuku tu, wenye hela wanajua namna ya kuchangia team yao na hawana mda wa kuja kulilia jf kijana, we peleka sanduku kanisani na msikitini upate chochote kitu ila humu huambulii chochote, nimekushauli kwakuwa kapuku wewe una nia ya dhati ya kuchangia team yako njoo tuyajenge, uumie wewe kwa ajili ya team yako ufe kijerumani, mashart madogo tu me naomba ndogo then we unaenda kuvimba kichwa jangwani kwa mpitisha bakuli wenu almaarufu Akilimali

Njoo bana huwezi kutimiza lengo kama utaendelea kuona aibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…