Mashabiki Yanga wampiga ngumi shabiki wa Simba

[emoji38][emoji38][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]kina waliochomanaga visu Kivule kule miaka km miwili iliyopita wakauana
 
ni kuto jielewa baina ya washabiki wa pande zote sio lazima umtanie mtu kias cha yeye kukasirika mpka akupige na pia sio lazima kupigana mtu kakutanoa umekereka bas ondoka zako kuepusha mambo kama hayo
 
Kwaio shabiki wa Simba kawatandika mashabiki wa Uto?
 
Acha post za Kichochezi
Wewe mwenyewe umeandika kuwa umesikia ina maana umesimuliwa...
Ningekuwa Admin post kama hizi na delete tu
 
Acha post za Kichochezi
Wewe mwenyewe umeandika kuwa umesikia ina maana umesimuliwa...
Ningekuwa Admin post kama hizi na delete tu
Mbona kama una msongo wa mawazo?? Kuna sehemu hapo umeona nimechochea??
 
Yaani nafanya kazi ya kuonya huyu mwamba ananiambia na chochea hivi hii ni akili kweli??
 
Afya ya akili imekuwa changamoto kwa tz..hata ile kusema kat ya watu kumi wawili wana tatizo la afya ya akili naweza kukataa..yawezkana wote kumi wanatatzo sema sample size yao imekuwa jumuish sanaa...wakafanye ivo kwa mashabik wa yanga kama hata mmoja atakuwa mzima...hili lishawahi kusemwa ma msemaj wao aliefungiwq
 
Mkuu Catel mbona umeongea kwa msisitizo sana, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ina maana yanga ni wagonjwa wa akili au vipi
 
Mkuu Catel mbona umeongea kwa msisitizo sana, [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ina maana yanga ni wagonjwa wa akili au vipi
Kabxaa mkuu....iv ushabik unaweza kukupelekea kujeruhi au kuua kisa tu timu yako haifanyi vzur...hili kwa kwel ni lq kutazamwa kama mama anavyosema...sasa hiv si utani na ushabiki tena...imekuwa ni uhasama
 
Yani na mkae nao mbali baada ya jpili maana mtauliwa kabisaa. Wengine midomo yetu ni humu humu JF.
 
Walipiga mtu pale arusha mpaka akapoteza uhai hakuna hata mmoja aliye paza sauti nguruwe pori akajikausha kama hakijatokea kitu vile
 
Humu JF zingekua zisha pigwa ngumi kuna watu wana matusi na wanakera sana
 
Asee kama mmempiga msela sio poa asee. Halafu unakimbilia hapa Jeiefu
 
Walipiga mtu pale arusha mpaka akapoteza uhai hakuna hata mmoja aliye paza sauti nguruwe pori akajikausha kama hakijatokea kitu vile
Hizi ndio kauli zinazoleta ugomvi unamuita mtu nguruwe pori atavumilia? be smart vitu vingine unatumia uungwana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…