Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Huu mchezo ambao mara nyingi nimekuwa nikiutazama ITV umenipa mashaka. Mara nyingi washiriki hupata milioni tano kurudi chini.
Kumbuka hapo Kuna milioni 50, 60 hadi 70.
Cha ajabu watu hawashindi hela hizo nyingi. Jamaa anachokifanya baada ya kufunga mchezo anachomoa vile vibao vyenye hela nyingi akituaminisha watu wameshindwa kubahatisha.
Wasiwasi wangu: Nahisi Kuna USIRI MKUBWA Kati ya Zembwela na Mmiliki wa bahati nasibu ya TATU MZUKA.
Kumbuka kwenye Tv Kuna muda Mwingine huoni ule ubao wenye vibao baada ya washindi kupatikana. Utamwona Zembwela tu akibwabwaja japo kwa muda mfupi sana.
Sasa hapo ndipo bila Shaka Kuna MTU KAANDALIWA kutimiza usanii ili kuvutia watu waendelee kucheza bila kukata tamaa.
Wasalaam.
Kumbuka hapo Kuna milioni 50, 60 hadi 70.
Cha ajabu watu hawashindi hela hizo nyingi. Jamaa anachokifanya baada ya kufunga mchezo anachomoa vile vibao vyenye hela nyingi akituaminisha watu wameshindwa kubahatisha.
Wasiwasi wangu: Nahisi Kuna USIRI MKUBWA Kati ya Zembwela na Mmiliki wa bahati nasibu ya TATU MZUKA.
Kumbuka kwenye Tv Kuna muda Mwingine huoni ule ubao wenye vibao baada ya washindi kupatikana. Utamwona Zembwela tu akibwabwaja japo kwa muda mfupi sana.
Sasa hapo ndipo bila Shaka Kuna MTU KAANDALIWA kutimiza usanii ili kuvutia watu waendelee kucheza bila kukata tamaa.
Wasalaam.