Mashaka Makubwa Juu ya Miradi ya inayotegema Umeme

Mashaka Makubwa Juu ya Miradi ya inayotegema Umeme

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Baada ya Majibu ya Waziri wa Nishati kuomba apewe muda ili arekebishe suala la kukatika kwa umeme, sasa hofu imekuwa kubwa juu ya auendeshaji wa miradi inayotegemea umeme,

Miradi hiyo ni kama SGR na Viwanda. Na Jana Rais kasema kuna mradi wa Mabasi ya umeme.

Waziri J. Makamba aliomba apewe walau miaka minne. Rais analijua hili tatizo lilivyokubwa na namna litakavyokwamisha miradi hiyo?

Tuwe makini katika hili #Wahuni sio watu wazuri.
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
Nawe umetekewa na Story za January?. Tehee.. Ukisema perfomance imeshuka utalaumiwa?.

Unaamini kabisa kwamba kwa miaka mtano hakukufanyika matengenezo? Wala huna mda wa kutaka kujua kama yalifanyika ama lah?

Unajua kipindi cha Magufuli ndicho kipindi umeme ulisambazwa hapa nchini kuliko miaka yote ya nyuma?. Unajua ndio kipindi watu wa Songea na Kigoma waliunganishwa kwenye grid ya Taifa?.

Unajua pale Kinyerezi palipanuliwa mara mbili?. Unajua Tanesco walikuwa kazini masaa 24, walikuwa wana lala tu?.

Tukiachana na yaho, turudi kwenye kutumbuliwa?

Unajua January Makamba alitumbua management na board ya TANESCO?

Unajua sasa anafukuza kitengo cha habari zaidi ya watu 200?

Nani kafanya reshuffle ya hatari pale tanesco kati ya January na Mafuguli?

Usimwamini sana J. Makamba ni mwana propaganda mzuri tu.
 
Nawe umetekewa na Story za January?. Tehee.. Ukisema perfomance imeshuka utalaumiwa?.

Unaamini kabisa kwamba kwa miaka mtano hakukufanyika matengenezo? Wala huna mda wa kutaka kujua kama yalifanyika ama lah...
Unalinda legacy? Kati ya maraisi waliyo fanya mengi nadhani JK alifafanya mengi na mark my words SSH atafanya mengi zaidi
 
Nawe umetekewa na Story za January?. Tehee.. Ukisema perfomance imeshuka utalaumiwa?.

Unaamini kabisa kwamba kwa miaka mtano hakukufanyika matengenezo? Wala huna mda wa kutaka kujua kama yalifanyika ama lah...
Watu 200 wa kitengo cha habar wanakosa KAZ ,kisa makamba
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
Kwa hiyo Mitambo iliendeshwa kwa karibia miaka 6 bila ya kusafishwa wala kufanyiwa Matengenezo? Ni mitambo gani ina uwezo wa kuhimili hivyo??? Hayo matango pori kawalisheni watu wengine wasioweza kufikiri.
 
Una linda legacy? Kati ya maraisi waliyo fanya mengi nadhani JK alifafanya mengi na mark my words SSH atafanya mengi zaidi
Sidhani kama ni hoja yake kuwa analinda legacy. Unachotakiwa kumjibu ni kuwa kama kweli hakuna mitambo iliyofanyiwa maintainance wakati wa MZ, kwa nini mafundi tanesco walikuwa site kwa masaa 24? Kwa nini umeme ulisambazwa sehemu nyingi zaidi? Kwa nini vituo vilipanuliwa zaidi? Kama kweli uwezo ulibakia ule ule, mimi nadhani hali ya kukatika kwa umeme ingekuwa mbaya zaidi wakati ule kuliko sasa. Mjibu hoja yake na usikimbilie legacy mkuu.
 
Unalinda legacy? Kati ya maraisi waliyo fanya mengi nadhani JK alifafanya mengi na mark my words SSH atafanya mengi zaidi
Lambda SSH kwa vile anamda.

Ila kwa JK unataka kuonesha mahaba. Miaka kumi ya JK lakini alikimbizwa mbaya na Miaka 5 ya Hayati JPM?
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
Wakati wa kikwete ulivyokua unakatika na watu walikua hawogopi kutumbuliwa nini kilikua shida?
Nadhani mitambo ilikuwa inakarabatiwa lakini umeme unakatita hovyo, je shida ilikua nini?
 
Anayeleta matatizo ni yule aliyeweka sheria kuwa asilimia fulani ya mapato ikatwe moja kwa moja iingizwe kwenye gharama za service...hii kata kata inahalalisha tu matumizi mabovu ya hiyo fedha...hivi ni akili gani ilitumika kuweka hii hesabu?fedha ya matengenezo iwekwe kwenye budget na wawepo watumishi wanaolipwa mshahara kufanya hiyo kazi ya maintenance kila siku...kuiweka kama kazi ya ziada na watu wanakula posho haya matatizo ya kukatika umeme hayawezi kuisha.
 
Mtu anasema maintenance haikufanyika lakini Maintanance ndo kitengo kikubwa kilichoajiri watumishi wengi wa Tanesco nchi nzima kwamba miaka hiyo walikuwa wanakula mshahara bure?
 
Mtu anasema maintenance haikufanyika lakini Maintanance ndo kitengo kikubwa kilichoajiri watumishi wengi wa Tanesco nchi nzima kwamba miaka hiyo walikuwa wanakula mshahara bure?
Inashangaza sana. Siasa kazini.
 
Lambda SSH kwa vile anamda.

Ila kwa JK unataka kuonesha mahaba. Miaka kumi ya JK lakini alikimbizwa mbaya na Miaka 5 ya Hayati JPM?
Sifa kubwa ya JK ni kuwa aliachia nchi mambo yajiendee kama mbuzi wasiokuwa na mchungaji. Yeye akawa anapiga ruti tu kwenda nchi za nje kula maraha; pale airport ilikuwa ndiyo living room yake. Sasa wale mbuzi waliokuwa wanakula mpaka kuvimbiwa walipopata mchungaji wa kuhakikisha wanakula walipopangiwa tu, wakamchukia sana mpaka kaburini. Mama yeye kaanza kwa kuruhusu mbuzi wale chochote kulingana na urefu wa kamba zao, siyo kuwa kile walichopangiwa; baadaye huenda naye akaishia kuwachia mbuzi wajilie wanavyotaka iwapo serikali yenyewe ndiyo hii.
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
JPM aliogopwa na aliipenda hali hiyo. Hakujua madhara ya kuogopwa yanadumu kwa miaka mingapi.
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri

Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
Ujinga huu,Kama ukarabati haukufanyika muda huo kwanini matatizo hayakutokea wakati huo Hadi sasa,magu ni kiboko kuongoza kuna hitaji akili zaidi Kama ya magu.huo utetezi wenu huko ni kukili kushindwa nyie kuleni huo urefu wa kamba zenu.na ndicho kilicho waweka hapo.
 
🐒🐒🐒
16454550894180.jpg
 
Baada ya Majibu ya Waziri wa Nishati kuomba apewe muda ili arekebishe suala la kukatika kwa umeme, sasa hofu imekuwa kubwa juu ya auendeshaji wa miradi inayotegemea umeme,

Miradi hiyo ni kama SGR na Viwanda. Na Jana Rais kasema kuna mradi wa Mabasi ya umeme.

Waziri J. Makamba aliomba apewe walau miaka minne. Rais analijua hili tatizo lilivyokubwa na namna litakavyokwamisha miradi hiyo?

Tuwe makini katika hili #Wahuni sio watu wazuri.
JNHPP imeanza kuwekwa maji leo hii, yanaelekezwa kwenye turbines. Tulia, mambo mazuri hayataki haraka.
 
Ujinga huu,Kama ukarabati haukufanyika muda huo kwanini matatizo hayakutokea wakati huo Hadi sasa,magu ni kiboko kuongoza kuna hitaji akili zaidi Kama ya magu.huo utetezi wenu huko ni kukili kushindwa nyie kuleni huo urefu wa kamba zenu.na ndicho kilicho waweka hapo.
JPM aliogopwa kwani hakutaka kusikiliza utaalam unasemaje juu ya suala husika. Haupo uwezekano binadamu wote tukafanana.
 
Kipindi cha mwandazake watu walifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa, vyanzo vya umeme havikusafishwa regularly kwa kuogopa kukata umeme na huenda kutumbuliwa, tulikuwa tunaishi kwenye Time bomb ya umeme kipindi hicho, alieleta hizi kero zote ni Magufuli kwa hiyo msilaumu waziri
Bado swali langu halijajibiwa hadi leo, kufa kwa hiyo mitambo kulikua kunamsubiti January?
Mitambo haiongei, ukishindwa kufanya maintenance tu itakufa, Ila wewe unataka kutuaminisha mitambo ilikua nayo inaogopa kutumbuliwa
 
Back
Top Bottom