Haji Mashaka Nassoro
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 384
- 850
Bila picha umbeaMashaka Matongo (Abiola) makazi yake ilikua Yombo kwa Abiola amefarii leo mchana katika hospitali ya Temeke jijini Dar-es-salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu.
Baadhi humu wanamfahamu aliwahi kuigiza kwa muda mfupi katika kikundi cha Kaole mwishoni mwa miaka ya 1990 huku akijishughulisha na biashara ya magazeti pamoja na akina Eric Shigongo mbunge.
Duuh mwenye kapicha kake tafaadhali kitambo..
Umesaidia sana mkuu kuleta picha.
Kwani jimbo lake lilePole sana bila shaka mbunge atakuwepo
Platinum idiotProfessor Janabi alisema kuwa wanaume Kiuno kisizidi inchi 40, ukiwa na zaidi ya hapo ni shida!!!