MASHUKE ORIGINAL
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 223
- 429
Acha ujinga mkuu wangapi wanakufa na wana viono inchi 24, kifo ni fumbo . We mshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai ulionao, na huo uhai sio kwa ujanja wako mkuu ni Mungu mwenyewe kaamua kukuachia ila akiamua hata mchana hautoboi.Sawa mimi Kenge , mbuzi lakini nyie kondoo na vitambi vyenu msipofuata ushauri wa wataalam mtapukutika halafu mtasingizia kurogwa kwavile hamna akili!
Janabi mwenyewe zikifika atang'ata shuka vizuri tu pamoja na wembamba wake.Professor Janabi alisema kuwa wanaume Kiuno kisizidi inchi 40, ukiwa na zaidi ya hapo ni shida!!!
Huu ni uzi wa Tanzia,binadamu mwenzetu ametangulia mbele ya haki, ukitaka fungua uzi wako wa vitambi, na huyo mtaalamu uliyemtaja naye ana wingu Zito la tuhuma juu ya kichwa chake, ila muda utakuja kusema ukweli, elewa dead people wanaongea kutoka makaburini, ipo siku moja ,marehemu huyu ataongea, RIP aka AbiolaSawa mimi Kenge , mbuzi lakini nyie kondoo na vitambi vyenu msipofuata ushauri wa wataalam mtapukutika halafu mtasingizia kurogwa kwavile hamna akili!
Amina!!Acha ujinga mkuu wangapi wanakufa na wana viono inchi 24, kifo ni fumbo . We mshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai ulionao, na huo uhai sio kwa ujanja wako mkuu ni Mungu mwenyewe kaamua kukuachia ila akiamua hata mchana hautoboi.
Mimi sio niliosema hizo inchi 40, matusi yako hayabadili ukwell wa wataalam ; puuzia ushauri wao hapo ndio utatambua nani ni idiot kati yangu na wewe bwege mwenye kitambi kama una mimba!
Hapa mtu anapewa darasa hakuna mtu anayelaumiwa kwa kupenda kula kula!Sidhani Kama ni sahihi kumlaumu mtu kuhusu umbile lake.
Hawezi kurest baada ya kifo kama hakutengeneza maisha ya kurest alipokua hai.R.I.P
ila tuseme tu hawa ndugu zetu wenye vitambi wasipofuata ushauri wa wataalam watapukutika sana. Kutoboa miaka sitini na kuendelea ni bahati kubwa sana ukiwa na kitambi, sijawahi kuona mzee wa miaka sabini mpaka themanini ana kitambiSawa mimi Kenge , mbuzi lakini nyie kondoo na vitambi vyenu msipofuata ushauri wa wataalam mtapukutika halafu mtasingizia kurogwa kwavile hamna akili!
Umeambiwa amekua anaumwa muda Mrefu sasa hujaelewa nini?? Sio Kiuno mana Kiuno kiliisha akawa anavaa size 12Professor Janabi alisema kuwa wanaume Kiuno kisizidi inchi 40, ukiwa na zaidi ya hapo ni shida!!!
Duuh mwili ulichangamka..
Mapembelo lokholoMATONGO kwa kabila langu ni MAPUMBU
rip legendary
FaizaFoxy kwani haya maneno ungeyatafsiri ili sote tuelewe Kuna ubaya.? Nadhani hiyo lugha ni kimakonde au kimakua. Sio wote humu jf wanatokea Mtwara na Ruvuma.Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Kiuno akawa anavaa size 12 ni baada ya kuvaa zaidi ya size 40; kwa maana nyingine ni maradhi ndio yamesababisha avae size 12! Ilitakiwa size hiyo ipungue kwa nidhamu ya lishe na mazoezi na sio maradhi!!Umeambiwa amekua anaumwa muda Mrefu sasa hujaelewa nini?? Sio Kiuno mana Kiuno kiliisha akawa anavaa size 12