ahitaj Proof Kaka, namna ya ku Proof
Nilichotaka kusema umeshakisema!Mi sijui unawasiwasi wa nini!Kama uhusiano wenu una matatizo kwanini usitumie michango kama chachu ya kuuboresha uhusiano wenu badala ya wasiwasi uliyonao,kwanza huyo mkeo anafaa kwa sababu anatafuta solution na sio kuuvuruga!
Etiee..... Hahahahahahahahhahahahitakua ni ile thread y kuombwa kurukwa ukuta.
Kuna post ambazo sizielewi elewi humu ndani ya MMU, na style ya Uandishi wake, Hakika zina Match exactly na Shemeji/wifi yenu.
Kuna post nyingine anaomba ushaur ambazo zinagusa Mambo yetu though ana modify kiaina, na ushauri Mnaompa humu MMU,naona kama Uhisiano wangu Na yeye unakuwa Compromissed...
Huyu ni Y katika KISA changu cha X na Y
Nifanyeje ku prove kama ndio yeye Jaman kama hisia zangu hazinidanganyi
Bwaaaahahahahahahahaaaaaaa:caked: umejuajeeee weweee?itakua ni ile thread y kuombwa kurukwa ukuta.
unaonaje ktk thread zinazokuhusu ungezitolea mawazo yako kama ukweli ulivyo au taja hizo threads.Kuna post ambazo sizielewi elewi humu ndani ya MMU, na style ya Uandishi wake, Hakika zina Match exactly na Shemeji/wifi yenu.Kuna post nyingine anaomba ushaur ambazo zinagusa Mambo yetu though ana modify kiaina, na ushauri Mnaompa humu MMU,naona kama Uhisiano wangu Na yeye unakuwa Compromissed...Huyu ni Y katika KISA changu cha X na YNifanyeje ku prove kama ndio yeye Jaman kama hisia zangu hazinidanganyi
Wewe unaonekana mshabiki sana wa hii kitu,, napata mashaka hapa!Etiee..... Hahahahahahahahhahahah