Geha afadhali.[emoji1]Yaani ana hekaheka km Geha Habib
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unafikiri akuuu siku hizii wanaume wachumia tumbo wanawake nao ndo hvyo hvyo kama mmezaliwa Wachache unajilipua tu
Mnapataje habari hizi em tuambieni vizuri basiπYaaaani...
Wazo Kontena ananunua kila kiwanja kilichopo wazi na Mapagale...
Jina anaandika Mama yake[emoji1]
Rudia tenaNamba A mwenye 45+ naolewa mara kumi kumi. Namba D na E mnafeli wwapi
View attachment 2590775
Haswaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na habari tuzipate kama zilivyo..Nakuaminia Dogo....
Hunaga jambo dogo....
Kabisaaaa yaan.Mashallah Mungu afanye wepesi Jamani yatimie
Tunazipata kama Majirani zake[emoji1]Mnapataje habari hizi em tuambieni vizuri basi[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaaaani...
Wazo Kontena ananunua kila kiwanja kilichopo wazi na Mapagale...
Jina anaandika Mama yake[emoji1]
Hashindwi, bibie kwa stara katisha sana nimempenda bure siyo unaachika mara moja unadata mpk mafuta unashindwa kupaka..Naskia Dida nae anaolewa tena ππππ
Kumbe alishaachwa na Meya Kumbilamoto!Naskia Dida nae anaolewa tena ππππ