Duh,sipati picha kama zile ndude zingekuwa zinaisha.Kaahhh mbona mdaa sanaaaaa....ht miezi mi4 haikudumuuuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,sipati picha kama zile ndude zingekuwa zinaisha.Kaahhh mbona mdaa sanaaaaa....ht miezi mi4 haikudumuuuuu
Hapo tatizo lipo kwa shabiki kutokana na nature yao kama Manara alivyosemaHapo unakuta tatzo ni wale wapumbavu wa printing
Unashangaa nini wakati imevaliwa na shabiki wa Yanga?Mbona boss ledy🤣
Hahahahahahaha ..eehh..anamuita Hakimi mwenyewe
We daimond Mali zake nyingi kamuandika mama ake
Kitambo tu 😅😅Kumbe alishaachwa na Meya Kumbilamoto!
Yaaaani...
Wazo Kontena ananunua kila kiwanja kilichopo wazi na Mapagale...
Jina anaandika Mama yake[emoji1]
Za chini chini si zinasema Uncle Alishafurumushwa[emoji1]? AU?Kama namuona anko shamte [emoji23][emoji23]
Yah...Ni kweli...Hii ya mondi kumuandikisha mama ake ni serious?
Za chini chini si zinasema Uncle Alishafurumushwa[emoji1]? AU?
Kama bado wapo wote basi akae kwa akili sana...
Yah...Ni kweli...
Ni baadhi ya Mali lakini..
Unaambiwa kitambo[emoji1787]Kumbe ankali kaachwa[emoji23][emoji23]sina habari
Nilitegemea kukutana na hii comment mapema sana, na kweli imekuwa ya nne sijui ya tano.Wataachana tu
Nipo pale
Hakuna kitu kama hicho. Hakunaga mwanamke malaya akaamua kutulia. Wanapoaga tu. Muda wowote wanafanya yao.Wala hachezewi oaneni tunaambiwa hivi "oaneni Kwa wema na achaneni Kwa wema"
Ndoa ni upendo huruma na mapenzi kama hvyo hakuna hakuna ndoa hapo
Unapomuita Zari Malkia wa wadangaji unakosea wanadamu wanabadilika mbona,kaamua kutulia jamani dada wa watu
We utakuwa umehama Tanzania, zamaaaaniKumbe alishaachwa na Meya Kumbilamoto!
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2]muhimu awe na mtonyo tuuu ataolewaSi wanasemaga eti Mwanamke lazima aolewe mapema walau 23-33 hapo, kumbe inawezekana Mwanamke kuolewa akiwa na 40+ [emoji848]
Ngoja Binti yangu nimkomalie asome hadi amalize PhD yake ndiyo aje aolewe [emoji847]