Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eehhh...akidanja bi mkubwa ana mgao wake mzuri TU maana ni Mme Hali kabisaa[emoji23][emoji23]SI ndo maana anakomaa nae
Hahahaha.....alimfukuza edzen na begi lake atoke zake hukoo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Possible kabisaa...
Nadhani wasanii wa bongo Kwa Hela Hakim aka Nassib Abdul[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]anaongoza
Ana vitega uchumi vingi ACHA nyumba za Kigoma hukoo
Tuwekeni tu unaafiki pembeni
Yaap Zile potential zote zinazojulikana zipo Kwa chini ya Maza Ake
Na daimond suala la kuoa huyo mwanamke achaguliwe na bi sanura
Hahahaha....mjini mipango mbonaaa!
Ila anko mjanja sana
Hakika Ndoa ni stara , wengine huku usiku unaanza kuwaza sijui nimcheki mwaju kama yupo online mara Eva ukilala unaanza kuota unavamiwa na jambazi kama Uzi wa nani sijui nmeona😂😂Bosslady na socialite Zarina Hassan Aka mama watano na mdada mwenye mbwembwe East Africa ameolewa Jana Kwa Ndoa ya kidini Huko Kwa Uganda
Picha zimetrend akiwa na anavalishwa Pete na huyo mmewe mpya
Kiukweli mi mmefurahi Sana maana dini inatuambia Ndoa ni nusu ya dini hvyo amekamilisha nusu ya dini yake haijalishi kaolewa na masikini,tajiri,sijui mara katoto n.k
Nimeona Instagram Watu wamemponda Sana kuwa kaolewa na katoto mara sijui hana pesa. Honestly tuacheni wivu Ndoa ni Mungu anapanga nani atakuoa na kwa wakati gani muhimu ni dua tu kupata mume mwema
Tuacheni wivu,chuki na hasad Zari anaweza kuwa alikuwa gold digger lakini kaamua kubadilika atulie kaolewa maisha ni mafupi sana kuna muda wa kutubia
Kama zinaa kaifanya mnoo mpaka kufikia kuzaa watoto wote wale
Hao wenye pesa Sio ambao Mungu alimpangia kuolewa nao
Kwa sisi wenye dini zetu (Kwa wapagani mtanisamehe)
Ndoa ni heshima pia Kwa kuwa watoto wake kwa sasa ni wakubwa wanahitaji kuona mama ametulia kudanga danga na wanaume kwa umri wake haileti picha Nzuri haswa kwa tamaduni zetu za kiafrica
Nawaombea Kila kheri ktk Ndoa yake na mumewe katika maisha yake mapya ya Ndoa akamtii mumewe na ajue Kwa Sasa km ni Ndoa ya kiislam baasii mume Ndo Pepo yake akatulie
Heee, inakuwaje mwanaume unalowa 😳😳😳Lishangazi limeolewa na kibenten
Ila ataufaidi ule mpaja mnene
Ule mpaja kila nikiuona tu nalowa
Una hadi Watsap no.zao Shoo?[emoji1]Ndio itakua mwenyewe nilijua wameachana
Afu wasap ya picha zao ukifungua huioni Tena hii inaninyima umbea siku hizi maana vinatumwa vitu ukifungua hauwezi ht kuskrini shoti
Kabisa...Possible kabisaa...
Nadhani wasanii wa bongo Kwa Hela Hakim aka Nassib Abdul[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]anaongoza
Ana vitega uchumi vingi ACHA nyumba za Kigoma hukoo
Tuwekeni tu unaafiki pembeni
Kwa kweli wanamchezeya Sana mungu AllahMungu wa waislam anachezewa sana kwenye suala la ndoa. Zari malkia wa wadanganji na ma slay queens.
Imagine!Uzi bila picha
Amuulize diamond maana ya kuteleza kama nyoka pangoniLishangazi limeolewa na kibenten
Ila ataufaidi ule mpaja mnene
Ule mpaja kila nikiuona tu nalowa
Naskia Dida nae anaolewa tena 🏃🏃🏃🏃
Jamiiforum katika ubora wake...nimejika nacheka sana kidogo nipaliwe na bia mdomoni.Uskute amesahau yuko kwenye id yakiume
Maisha mafupi sana...ngoja waendelee kulana kupitia vijoleo vyao tutafanyaje sasa? Kupanga ni kuchaguaKaahhh mbona mdaa sanaaaaa....ht miezi mi4 haikudumuuuuu