Mashallah Zarina Hassan kaolewa

Mashallah Zarina Hassan kaolewa

Dah hii inaweza kuwa hata ya 10, ngoja mama D aje na taarifa kamili 😅😅😅

Mwacheni aolewe maana vya kuolewa ni vya duniani

LUKA 20:27-36
Kisha baadhi ya Masadukayo wakamwendea, wale wasemao ya kwamba hakuna ufufuo, wakamwuliza, wakisema, Mwalimu, Musa alituandikia ya kuwa, mtu akifiwa na ndugu yake mwenye mke, lakini hana mtoto na amtwae huyu mke, ampatie ndugu yake mzao.
Basi, kulikuwa na ndugu saba. Wa kwanza alioa mke, akafa hana mtoto; na wa pili [akamtwaa yule mke, akafa hana mtoto;] hata wa tatu akamwoa, na kadhalika wote saba, wakafa, wasiache watoto.
Mwisho akafa yule mke naye.
Basi, katika ufufuo atakuwa mke wa yupi? Maana aliolewa na wote saba.
Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi; wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
 
Si wanasemaga eti Mwanamke lazima aolewe mapema walau 23-33 hapo, kumbe inawezekana Mwanamke kuolewa akiwa na 40+ 🤔

Ngoja Binti yangu nimkomalie asome hadi amalize PhD yake ndiyo aje aolewe 🤗
Mwezi huu wameolewa mapresident wa masingle Maza toka nchi mbili tofauti wote Wana watoto 5,aged45+ kwa hiyo muache bint asome zake mpaka hiyo PHDndoa zipo tu😁😁😁
 
Na ninampendaga...
Yule ndiyo huwa kiboko ya Zari....Hafurukuti pale....

Wakati walipogombana Akothee alimwambia asikie tu hata amemtaja kwa bahati mbaya...Atamjua[emoji1787]
🤣🤣🤣Zari akaufyata!anamjua maneno yake,kwanza soma tu Yale magazeti yake ndio utajua kichwa chake kikoje!Yuko smart Sana yule dada anajua kucheza na fursa sema kuna muda anajitiaga Chizi🤣🤣
Nampenda saaaaaana pia and am happy for her new life
 
Back
Top Bottom