Lomaa lolusa
Member
- May 15, 2017
- 30
- 45
Wew unaweza kuwa mwenyeji maeneo hayo piaNi salama karibu fuata utaratbu
Maana Kuna mtu alisema ni eneo la serikali liliwahi kuwa ranchiWew unaweza kuwa mwenyeji maeneo hayo pia
Asante kwahiyo taarifa za watu kusema kwamba ni eneo la ranchi la serikali sio za kweliNina maeneo mitaa hiyo,..kama hujawahi kufika,kutoka mkundi sheli Hadi bwanani nauli elfu 7 bodaboda,kama unataka mashamba ungesogea Kijiji Cha mbele kinaitwa Ngongele
Sina uhakika ila naweza sema HAPANA nilinunua mwaka 2014 heka 20..kwa ,heka laki 3...tulikua tunapitia huku kiegea,karibu na kiwanda Cha mkonge jina nimesahau,Asante kwahiyo taarifa za watu kusema kwamba ni eneo la ranchi la serikali sio za kweli
wewe kumbe mwenyeji wangu mimi nina maeneo kiegea, ukifika mkundi sheli unaingia kulia boda buku tatu, tuwasiliane mkuuNina maeneo mitaa hiyo,..kama hujawahi kufika,kutoka mkundi sheli Hadi bwanani nauli elfu 7 bodaboda,kama unataka mashamba ungesogea Kijiji Cha mbele kinaitwa Ngongele
Unauzajewewe kumbe mwenyeji wangu mimi nina maeneo kiegea, ukifika mkundi sheli unaingia kulia boda buku tatu, tuwasiliane mkuu
πππSio ya kukosa hii
Lipo km ngap tokea hospital ya kiegeaHeka laki saba