Mashamba kuuzwa morogoro

Mashamba kuuzwa morogoro

Lomaa lolusa

Member
Joined
May 15, 2017
Posts
30
Reaction score
45
Wana jamii forum Kuna watu wanauza mashamba morogoro eneo linaitwa bwanani karibu na bar inaitwa MV mapenzi.. Ukifika mkundi mwisho unaelekea mashariki. Je maeneo hayo ni salama kwa kununua. Au mwenye mawasiliano na mwenyeji wa maeneo hayo naomba anisaidie kunijulisha
 
Nina maeneo mitaa hiyo,..kama hujawahi kufika,kutoka mkundi sheli Hadi bwanani nauli elfu 7 bodaboda,kama unataka mashamba ungesogea Kijiji Cha mbele kinaitwa Ngongele
 
Nina maeneo mitaa hiyo,..kama hujawahi kufika,kutoka mkundi sheli Hadi bwanani nauli elfu 7 bodaboda,kama unataka mashamba ungesogea Kijiji Cha mbele kinaitwa Ngongele
Asante kwahiyo taarifa za watu kusema kwamba ni eneo la ranchi la serikali sio za kweli
 
Hayo maeneo nlinunua shamba, lakin baada ya mwaka naambiwa ni Hifadhi 😁, hivi sasa naambiwa serikali ina pima maeneo,, lakin kwangu hawajafika bado ni hifadhi, kuna kikao kitakaa kuhidhinisha nasi tupimiwe.
Za ndaaani naambiwa lile eneo liko ndani ya mpaka wa Mvomero na sio Moro town, ili kupata hati niende wilayani mvomero😁, nikachoka,,

Kuwa makini na hayo maeneo
 
Consult ofisi za halimashauri kwanza before haujafanya lolote.
 
Nina maeneo mitaa hiyo,..kama hujawahi kufika,kutoka mkundi sheli Hadi bwanani nauli elfu 7 bodaboda,kama unataka mashamba ungesogea Kijiji Cha mbele kinaitwa Ngongele
wewe kumbe mwenyeji wangu mimi nina maeneo kiegea, ukifika mkundi sheli unaingia kulia boda buku tatu, tuwasiliane mkuu
 
Naupenda sana mkoa wa moro madhari yake.

Natamani siku moja nije kuweka makazi ya kudumu pale moro.

Hivi utaratibu ukoje nikihitaji kaeneo kule tangeni milimani juu kabisa? Kule kwenye mnara?
 
Back
Top Bottom