Mashamba ya kulima Ruvu

Mashamba ya kulima Ruvu

Hahahahaha siyo sababu hiyo bro. Nipo nchi nyingine kwa sasa. Pia kutokupata nabkwenyewe kupo,maana kilimo cha kule kama unahitaji utoke,jipange na hasa mda wako uwepo. Ukiwaachia watu, hupati kitu
Najipanga next year nije kulima huko, nitakucheki hapa for further consultation Mkuu.
 
Najipanga next year nije kulima huko, nitakucheki hapa for further consultation Mkuu.
Wala usisite kuniuliza,lolote nalolijua ntakujuza. Japo kwa ushauli zaidi,pia ungepanga ziara tu kwa ajili ya taarifa na maarifa,maana siyo mpaka tu Ruvu,kikubwa ujue aina ya udongo na mazao yanayoweza kuendana na ardhi hiyo. Halafu,ujue na uelewe kwamba kama ni kilimo cha biashara,unahitaji nini. Huwezi kwenda na milioni moja tu,ukavuna moja na laki mbili,af useme umepata faida. Hivyo,tembelea wakulima wenyewe,maeneo mbali mbali,linganisha na mawazo yako,uwezo na malengo,ndo ujue lipi la kufanya
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Back
Top Bottom