Masharti mapya niliyopewa na mama watoto baada ya kurudiana.


duh!!!!! Ur wyf noma bj*2....cipati picha pindi utakavyokuwa mpole pindi uko pembeni ya mkeo mnachec sijui marichui...ahahahahahah..poor buji
 
mtu akijua vionjo vyako ni hatari sana
 
tena nafikiri tamthilia yenyewe ni Love her to death..capital tv
 
fanya kama anavotaka. Nawe mpe masharti yako pia. Akiyaweza basi nawe inabidi uyaweze yake
 

Mie nimemshauri kufanya sala uko kwingineko mie sipo soma vizuri utaelewa.....
 
buji,alipokuacha mkeo s ulikuwa na muda wa kutosha zaidi kuingia jf?sasa weka kwenye mzani,kama starehe ulizopata wakati akiwa hayupo na unazopata akiwepo zipi zinazidi.afu fanya uamuzi.tusikushauri hapa afu ukalazwa njaa ukaja na thread za kulia njaa tena.muambie akuongezee limbwata manake huko mtaani hakufai eeh baba.
 

...wewe hujamuelewa mkeo mpaka leo?
ana maanisha unahitajika kutumia muda zaidi na yeye.. kitandani!
 


BjBj pamoja na thread zako zote kuonekana zina mzaha ndani yake I believe kweli unatatizo na wife ila hutaki kulikubali hivyo unajaribu kulikwepa kwa kutania.... I really wish uweze tatua matatizo yako au ujaribu kua muwazi ni kitu gani hasa... Mwanamke hata kama ni mbishi vipi hawezi kupa list ya vitu saba ambavyo mara nyingi ndo maisha ya mwanaume na most ya hivyo vitu ndo vinam-define mwanuaume

Good Luck...
 
mhh kweli ndoa yataka moyo,poleni sana:mimba:
 
Umesahau lazma ucheze kiduku kila jioni kabla ya kula
 

Kwenye nyekundu hapo ukishaniambia hivyo na uhusiano unakwisha right away maana mie Manchester United is my first love hakuna mjadala.

Hayo mengine kama huyo mkeo kakwambia hivyo basi either alikuwa anakupima kuona una msimamo gani au ameanza kupata ugonjwa wa akili, either way hakufai kama leo kasema hivyo kesho anaweza kukuzuia kuongea na ndugu zako.
 
Heee nawe unakua kama maharage ya mbeya :biggrin1::biggrin1:
 

Na wewe mpe ya kwako mapya. Kwanza yeye afanyi baadhi ya hayo anayokukutaza? ningekuwa mimi ningeendelea kuyafanya hayo mpaka nipewe sababu za msingi (zilizokwenda shule i.e. full of logic). Halafu atahakikishaje kama hauingii tena JF?
 
Ukitaka cha uvunguni......................................!!!!!!!
 
ebwana shemeji mswahili sana aisee, Jiandae kusoma RISASI, KIU, UWAZI na IJUMAA, then C2C Ndio itakuwa channel pendwa yako, hzo bia huwezi zinywa coz muda wote atataka muwe faragha!
 
huyo atakuwa ...................., naogopa kukupa live kwa sababu nni mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…