Masharti mapya niliyopewa na mama watoto baada ya kurudiana.

Masharti mapya niliyopewa na mama watoto baada ya kurudiana.

...wewe hujamuelewa mkeo mpaka leo?
ana maanisha unahitajika kutumia muda zaidi na yeye.. kitandani!
Mkuu mtu akiniambia nisiangalie mpira uwa simuelewi kabisa.
 
huyo dada/mama kiboko,
sasa akikunyima kufanya yote hayo raha ya maisha itakuwa wapi.
 
Kama ni kweli una mke wa aina hiyo huyo sio mke ni matatizo!
 
Ngoja niongezee naona umesahau...ukitoka kazini ni marufuku kupitia sehemu yeyote. ni marufuku kupiga au kupokea simu ukishafika nyumbani...
1. Hamna kuingia JF
2. Hamna kuangalia mpira.
3. Hamna kutoka na washikaji, kama ni bia zitanywewa home na mwisho ni bia mbili.
4. Hamna kutembelewa na marafiki.
5. Hamna kununua magazeti yanayoandika serious news
6. Ni lazima kuangalia tamthilia usiku
7. Ni marufuku ku tune CNN, BBC, na al jazeera.
Jamani sasa ndio nakubali kuwa mapenzi ni kizunguzungu, mtu ana take advantage kwakuwa amejua nampenda.
Sijui nifanyeje?
 
Back
Top Bottom